Ni mvivu wa kwenda kanisani ila kesho 20/08/2023 lazima niende ni muhimu sana

Ni mvivu wa kwenda kanisani ila kesho 20/08/2023 lazima niende ni muhimu sana

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Kesho ni siku kubwa sana kwa sisi waamini..kwa kweli hata sisi wavivu wa kusali tumehamsika.

Kupalizwa mbinguni bikira maria siyo jambo dogo huku pembeni kuna waraka wa DPW.

Ebana eee kesho mapemaaaa misa ya kwanza kabisa afu seat ya mbele karibu na baba paroko.
 
Kesho ni siku kubwa sana kwa sisi waamini..kwa kweli hata sisi wavivu wa kusali tumehamsika.

Kupalizwa mbinguni bikira maria siyo jambo dogo huku pembeni kuna waraka wa DPW.

Ebana eee kesho mapemaaaa misa ya kwanza kabisa afu seat ya mbele karibu na baba paroko.
Wenzio tumeenda Leo jumamosi,Akaenda Nazereti hapo alipolelewa,Na siku ya Sabato akaingia katika Sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake.(Luka 4:16).Ibada njema.
 
Kesho ni siku kubwa sana kwa sisi waamini..kwa kweli hata sisi wavivu wa kusali tumehamsika.

Kupalizwa mbinguni bikira maria siyo jambo dogo huku pembeni kuna waraka wa DPW.

Ebana eee kesho mapemaaaa misa ya kwanza kabisa afu seat ya mbele karibu na baba paroko.
Nenda uwapelekee sadaka majizi
 
Kesho ni siku kubwa sana kwa sisi waamini..kwa kweli hata sisi wavivu wa kusali tumehamsika.

Kupalizwa mbinguni bikira maria siyo jambo dogo huku pembeni kuna waraka wa DPW.

Ebana eee kesho mapemaaaa misa ya kwanza kabisa afu seat ya mbele karibu na baba paroko.
 
Kesho ni siku kubwa sana kwa sisi waamini..kwa kweli hata sisi wavivu wa kusali tumehamsika.

Kupalizwa mbinguni bikira maria siyo jambo dogo huku pembeni kuna waraka wa DPW.

Ebana eee kesho mapemaaaa misa ya kwanza kabisa afu seat ya mbele karibu na baba paroko.
Wahi mkuu ukapate Neno la waraka! ,upone kiroho!
 
Back
Top Bottom