Ni mwaka wa tano sijaenda kanisani ila nasali na kusaidia watu naowambea Mungu awasaidie, Kanisani nitarudi iwe kama sehemu ya kusocialize zaidi

Ni mwaka wa tano sijaenda kanisani ila nasali na kusaidia watu naowambea Mungu awasaidie, Kanisani nitarudi iwe kama sehemu ya kusocialize zaidi

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Utaratibu wangu mara mbili au tatu kwa wiki nikitoka kazini mida ya jioni huwa napaki gari maeneo kadhaa kwa dakika 10 hadi nusu saa naanza kuzunguka nikiona bibi anauza karanga nampa elf 5 ntachukua karanga za mia sichukui chenji, mtoto anaeuza ndizi ntampa elf 2 naweza nisichukue ndizi, mwanafunzi kiatu kimegaribika ntampa elf 10, watoto wa mutaani ntamsaidia elf 3, n.k. kwa mwezi naweza kutumia elf 80 hadi laki 1 na elf kadhaa si haba japo kipato changu kidogo, Sheria yangu sipendi watu wanijue hivyo nafanya kwa kificho, sipendi kurudi sehemu moja hadi mda upite, siwezi kumsaidia mtu wakati wengine wananiona, n.k. ni kwa ulinzi wangu pia.

Sisaidii kusema kwamba nategemea baraka, kufutiwa dhambi, kujihakikishia kwenda mbinguni. NO ! NO ! HAPANA !! misaada unayotoa haiwezi kuwa rushwa, God cant be bribed !! nafanya kibinadamu tu lakini hata kwenye maombi yangu navyofikia kusema "Mungu wasaidie na watu wenye shida mbali mbali" basi nami najua kwa mbali sana nimeweza kutoa chochote ila narudia tena "bila mategemeo ya kupewa baraka"

Nasali kila siku, sijawahi kulala bila kusali, kula bila kusali, kuomba msaada wa Mungu napokuwa na shida, n.k. lakini kuhusu kwenda kanisani sijaenda kwa miaka 5 tangu 2019,

Sababu zangu za kuacha kwenda kanisani ni kwamba makanisa yanazidi kupoteza asili yake / originality mbaya zaidi hayakemei kama zamani, ni kweli tumeambiwa tusali kwa kukusnyika lakini ni vema kuitathmini
sehemu unayokusanyika.
  • Leo hii tunajua ni wazi kabisa kanisa la Roma likiongozwa na papa wake lina waraka wa kusapoti mahusiano ya jinsia moja, Ukienda anglikana viongozi walisharuhusu mapema haya mambo, kwanini haya makanisa yasijimegue ? maaskofu wanathamini zaidi vyeo na maslahi ?
  • Sikuhizi makanisani wanawake wanavaa wanavyotaka, magauni yanayowabana shepu zinachoreka, migongo wazi, vifua vimeachwa, n.k. sio kama zamani walikuwa wanazuiwa getini, utawasikia kinachoangaliwa ni roho.
  • Wanawake wanahubiri makanisani, makanisa kama lutheran yanaruhusu wanawake lakini haikuwa hivyo hapo mwanzo
  • Migogoro ya maslahi, Kanisa kama Kkkt limekuwa na migogoro mingi sana, ukichunguza chanzo ni maslahi na vyeo
  • Wasabato nao wanazidi kubadilika kila kukicha, wachungaji wanachonga panki, vijana wao wengi wana watoto bila ndoa, kuruhusu wachungaji wa kike, n.k.
  • Huko kwa walokole ndio kabisaaa, siwezi fikiria hata kukanyaga, ndio wanaofanya zaidi ukristo uonekane ni kutuko, yamegeuka kuwa makanisa ya kutajirisha wachungaji, miradi ya familia kwa kuuza huduma kama kumuona mchungaji, Mafuta ya upako, keki za upako, na takataka nyingine, hivi majuzi tu Kiboko ya wachawi kawacheka sana waliokuwa wanampa pesa awaombee

Kanisani naweza kurudi lakini wala nisiwe mnafki nitarudi zaidi kwajili ya mambo ya kusocialize
 
Kuna watu wengi kanisani lakini hawasaidii wengine wanaishia kuomba tu mdomoni "Mungu wasaidie na wenye shida"

Kuna watu wengi huenda kanisani lakini hawasali
Unachofanya ni kizuri pia
Lakini itakuwa vyema zaidi kama utahudhuria kanisani
Kanisani ni nyumbani Kwa Mungu, ona uzito wa kwenda nyumbani Kwa Mungu( kanisani)
 
Unachofanya ni kizuri pia
Lakini itakuwa vyema zaidi kama utahudhuria kanisani
Kanisani ni nyumbani Kwa Mungu, ona uzito wa kwenda nyumbani Kwa Mungu( kanisani)
nalifikira na kulitathmini jambo hili.

Tatizo makanisa mengi yamepoteza originality, Leo hii unaenda kanisa la Anglikana au Roma viongozi wameruhusu ushoga lakini maaskofu wetu hawajajimegua, why ??? ni tamaa za vyeo , pesa, ?

Unaenda kanisani wanawake wanakuja wamevaa vinguo vya kuwachoresha maumbo wanaruhusiwa tu kuingia, sio kama zamani ilikuwa marufuku.

Ukienda kwa wasabato nao wanaanza kupoteza originality wanaruhusu wachungaji wa kike, wachungaji wao wanapiga panki, n.k.
 
Utaratibu wangu mara mbili au tatu kwa wiki nikitoka kazini mida ya jioni huwa napaki gari maeneo kadhaa kwa dakika 10 hadi nusu saa naanza kuzunguka nikiona bibi anauza karanga nampa elf 5 ntachukua karanga za mia sichukui chenji, mtoto anaeuza ndizi ntampa elf 2 naweza nisichukue ndizi, kiufupi wale watu wanaouza ili ku sutvive, watoto wenye shida, n.k. sometimes kwa mtu moja naweza kumpa elf 20, 50 au laki, Sheria yangu sipendi watu wanijue hivyo nafanya kwa kificho, sipendi kurudi sehemu moja hadi mda upite, siwezi kumsaidia mtu wakati wengine wananiona, n.k. ni kwa ulinzi wangu pia.

Sisaidii kusema kwamba nategemea baraka, NO ! NO ! HAPANA !! misaada yangu haiwezi kuwa ni rushwa, nafanya kibinadamu tu lakini hata navyoomba "Mungu wasaidie na watu wenye shida mbali mbali" basi nami nakuwa balozi wa kusaidia kidogo nilichonacho.

Nasali kila siku, sijawahi kulala bila kusali, kula bila kusali, kuomba msaada wa Mungu napokuwa na shida, n.k. lakini kuhusu kwenda kanisani sijaenda kwa miaka 5 tangu 2019,

Kanisani naweza kurudi lakini wala nisiwe mnafki nitarudi zaidi kwajili ya mambo ya kusocialize
wewe kama mimi. Mara ya mwisho kwenda ilikuwa 2016. Ninaomba, kuna muda nafunga na sadaka yangu huwapa watu wenye uhitaji moja kwa moja. Nina mpango wa kurudi church kwa ajili ya kusocialize tu.
 
nalifikira na kulitathmini jambo hili.

Tatizo makanisa mengi yamepoteza originality, Leo hii unaenda kanisa la Anglikana au Roma viongozi wameruhusu ushoga lakini maaskofu wetu hawajajimegua, why ??? ni tamaa za vyeo , pesa, ?

Unaenda kanisani wanawake wanakuja wamevaa vinguo vya kuwachoresha maumbo wanaruhusiwa tu kuingia, sio kama zamani ilikuwa marufuku.

Ukienda kwa wasabato nao wanaanza kupoteza originality wanaruhusu wachungaji wa kike, wachungaji wao wanapiga panki, n.k.
Jali Ibada yako kanisani
Ukianza kuangalia mavazi , ulevi, mashoga n.k hutasali
Padre/mchungaji kukengeuka hakubadili ukiristo
 
Badilisha mtazamo wako.

Kimsingi kila mtu ana matatizo, unsaidia watu kila siku kwa njia ambazo hata huzijui. Ajira yako inasaidia mtu. Ukifanya manunuzi mahali unasaidia mtu. Ukicheka na mtu, umemsaidia.

Haya mambo ya kusaidia ili uonekane una uwezo au ukusanye points za kufika mbinguni ni upotoshaji.
Mungu anataka unyenyekevu
Sasa huyu bwana ana leta kiburi eti anasaidia watu inatosha
 
Bili za umeme, maji, mafuta, chakula n.k vitalipwa na nani kama hutoenda kusali?
 
Waebrania 10:25
[25]wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.

Kuna umuhimu mkubwa sana wa kwenda kanisani ndiyo maana hata Yesu mwenye hakuishia kuhubiria makutano mitaani tu lakini kuna muda alikuwa akiingia hekaluni/ kwenye masinagogi kufundisha.

Ukienda kanisani na Moyo wa kumtafuta Mungu hakuna chochote ambacho kinaweza kikakusumbua kwamba mavazi ya watu,uongo wao, na uasi wao yote hayo yatakuzuia wewe kupokea kilichokupeleka kanisani, Ukisoma MATHAYO SURA YA 23. Utaona habari za Yesu akiwaambia makutano na wanafunzi wake kwamba Wasikilize,washike na watende wanayoambiwa na Waandishi na Mafarisayo ila wasiige mfano wa matendo yao

Halafu kusema kwamba wako watu wanasali kanisani lakini hawasaidii watu...Hapo angalia usiwe kama yule farisayo aliyeenda kuomba na mtoza ushuru halafu akaanza kujipiga piga kifua na kujihesabia haki...kama unatoa msaada kwa kujilinganisha na wengine angalia usiwe unajihesabia haki maana sadaka zako zitakuwa ni kazi bure siyo tu kwa Mungu bali hata kwa hao unaowasaidia hazitaweza kuwapa tumaini lolote maana zitakuwa kazi bure.

Ni heri kama unaona ni sawa KWENDA KANISANI nenda kwa MOYO, na kama unaona ni heri kutoa MISAADA toa kwa MOYO achana na mambo mengine.
 
Waebrania 10:25
[25]wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.

Kuna umuhimu mkubwa sana wa kwenda kanisani ndiyo maana hata Yesu mwenye hakuishia kuhubiria makutano mitaani tu lakini kuna muda alikuwa akiingia hekaluni/ kwenye masinagogi kufundisha.

Ukienda kanisani na Moyo wa kumtafuta Mungu hakuna chochote ambacho kinaweza kikakusumbua kwamba mavazi ya watu,uongo wao, na uasi wao yote hayo yatakuzuia wewe kupokea kilichokupeleka kanisani, Ukisoma MATHAYO SURA YA 23. Utaona habari za Yesu akiwaambia makutano na wanafunzi wake kwamba Wasikilize,washike na watende wanayoambiwa na Waandishi na Mafarisayo ila wasiige mfano wa matendo yao

Halafu kusema kwamba wako watu wanasali kanisani lakini hawasaidii watu...Hapo angalia usiwe kama yule farisayo aliyeenda kuomba na mtoza ushuru halafu akaanza kujipiga piga kifua na kujihesabia haki...kama unatoa msaada kwa kujilinganisha na wengine angalia usiwe unajihesabia haki maana sadaka zako zitakuwa ni kazi bure siyo tu kwa Mungu bali hata kwa hao unaowasaidia hazitaweza kuwapa tumaini lolote maana zitakuwa kazi bure.

Ni heri kama unaona ni sawa KWENDA KANISANI nenda kwa MOYO, na kama unaona ni heri kutoa MISAADA toa kwa MOYO achana na mambo mengine.
Sawa, kwenda kanisani kuna umuhimu lakini sio kwa makanisa haya ya sikuhizi, Yamepoteza asili

Hata kiboko ya wachawi alikuwa na kanisa
 
Ebr 10:25
Wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
 
Ebr 10:25
Wala tusiache kukusanyika pamoja, kama ilivyo desturi ya wengine; bali tuonyane; na kuzidi kufanya hivyo, kwa kadiri mwonavyo siku ile kuwa inakaribia.
Unaangalia na sehemu unayokusanyika, sio unakimbilia tu kukusanyika kisa umeambiwa ukusanyike.
 
Utaratibu wangu mara mbili au tatu kwa wiki nikitoka kazini mida ya jioni huwa napaki gari maeneo kadhaa kwa dakika 10 hadi nusu saa naanza kuzunguka nikiona bibi anauza karanga nampa elf 5 ntachukua karanga za mia sichukui chenji, mtoto anaeuza ndizi ntampa elf 2 naweza nisichukue ndizi, kiufupi wale watu wanaouza ili ku sutvive, watoto wenye shida, n.k. sometimes kwa mtu moja naweza kumpa elf 20, 50 au laki, Sheria yangu sipendi watu wanijue hivyo nafanya kwa kificho, sipendi kurudi sehemu moja hadi mda upite, siwezi kumsaidia mtu wakati wengine wananiona, n.k. ni kwa ulinzi wangu pia.

Sisaidii kusema kwamba nategemea baraka, kufutiwa dhambi, kujihakikishia kwenda mbinguni. NO ! NO ! HAPANA !! misaada unayotoa haiwezi kuwa rushwa, God cant be bribed !! nafanya kibinadamu tu lakini hata kwenye maombi yangu navyofikia kusema "Mungu wasaidie na watu wenye shida mbali mbali" basi nami najua kwa mbali sana nimeweza kutoa chochote ila narudia tena "bila mategemeo ya kupewa baraka"

Nasali kila siku, sijawahi kulala bila kusali, kula bila kusali, kuomba msaada wa Mungu napokuwa na shida, n.k. lakini kuhusu kwenda kanisani sijaenda kwa miaka 5 tangu 2019,

Sababu zangu za kuacha kwenda kanisani ni kwamba makanisa yanazidi kupoteza asili yake / originality kwasababu yamepoteza nguvu ya kukemea, mambo yanafanyika kinyume hakuna anaekemea

  • Leo hii tunajua ni wazi kabisa kanisa la Roma likiongozwa na papa wake lina waraka wa kusapoti mahusiano ya jinsia moja, Ukienda anglikana viongozi walisharuhusu mapema haya mambo, kwanini haya makanisa yasijimegue ? maaskofu wanathamini zaidi vyeo na maslahi ?
  • Sikuhizi makanisani wanawake wanavaa wanavyotaka, magauni yanayowabana shepu zinachoreka, migongo wazi, vifua vimeachwa, n.k. sio kama zamani walikuwa wanazuiwa getini, utawasikia kinachoangaliwa ni roho.
  • Wanawake wanahubiri makanisani, makanisa kama lutheran yanaruhusu wanawake lakini haikuwa hivyo hapo mwanzo
  • Migogoro ya maslahi, Kanisa kama Kkkt limekuwa na migogoro mingi sana, ukichunguza chanzo ni maslahi na vyeo
  • Wasabato nao wanazidi kubadilika kila kukicha, wachungaji wanachonga panki, vijana wao wengi wana watoto bila ndoa, kuruhusu wachungaji wa kike, n.k.
  • Huko kwa walokole ndio kabisaaa, siwezi fikiria hata kukanyaga, ndio wanaofanya zaidi ukristo uonekane ni kutuko, yamegeuka kuwa makanisa ya kutajirisha wachungaji, miradi ya familia kwa kuuza huduma kama kumuona mchungaji, Mafuta ya upako, keki za upako, na takataka nyingine, hivi majuzi tu Kiboko ya wachawi kawacheka sana waliokuwa wanampa pesa awaombee

Kanisani naweza kurudi lakini wala nisiwe mnafki nitarudi zaidi kwajili ya mambo ya kusocialize
kwani unafikiri UKRISTO ni kwenda kanisani?je unafikiri mtu ataiona pepo kwa kwenda kanisani kila j2???
 
Back
Top Bottom