Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Nilijiandikisha NIDA tangu March,2019. Mwaka Jana 2020 nikapata namba, nikaambiwa kitambulisho Bado. Mwaka huu nimefuatilia sana naambiwa tu subiri kikiwa tayari utapigiwa simu. Mbaya zaidi watumishi wa pale wala lugha mbaya sana. Ukiuliza swali kwa ustaarabu wanakujibu kama ugomvi vile. Eti "kama umeshapata namba umefuata nini hapa?"!
Naomba mwenye kujua alternative procedures nipate kadi maana ninashida na kadi na siyo namba.
Ahsante.
Naomba mwenye kujua alternative procedures nipate kadi maana ninashida na kadi na siyo namba.
Ahsante.