Ni mwaka wa tatu sijapata kitambulisho cha NIDA

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Nilijiandikisha NIDA tangu March,2019. Mwaka Jana 2020 nikapata namba, nikaambiwa kitambulisho Bado. Mwaka huu nimefuatilia sana naambiwa tu subiri kikiwa tayari utapigiwa simu. Mbaya zaidi watumishi wa pale wala lugha mbaya sana. Ukiuliza swali kwa ustaarabu wanakujibu kama ugomvi vile. Eti "kama umeshapata namba umefuata nini hapa?"!

Naomba mwenye kujua alternative procedures nipate kadi maana ninashida na kadi na siyo namba.

Ahsante.
 
Ulipiga Kura?!!.. Unataka katiba mpya au Tume Huru ya Uchaguzi?!!.. wenzako wameshapiga fedha na wengine hatunao tena!!..wanaliwa na funza huko!!
 
Mi nlikuwa operetor kipnd wanaanza nikajichanganyq kusaidia watu kuweka finger prnt kwa wale ambao vidole vimekataa,ckuwa najuwa madhara yake xo hadi leo cjapatq hata namba...nnaomba kama kuna njia ya kuipata hyo namba hata kwa kupitia kitu kidogo anipe maelekezo
 
Ulikuwa unawasaidia Bure au ilikuwa negotiations
 
Naona hili la kitambulisho cha nida ni janga,mimi tangu 2018 mpaka leo sijapata kitambulisho na kila ukiulizia hamna majibu ya uhakika ya kuvipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…