godson Lomayani
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 538
- 711
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia hoja mbalimbali zinazowasilishwa hapa JF ambazo hazikosi kupatiwa ushauri au majibu ya uhakika kutoka kwa watu mbalimbali wenye elimu ya kutosha kuhusiana na hoja hizo.Binafsi nimefarijika sana na kuamua kujiregister humu.Kiukweli mada za member aitwaye Mshana Jr, ni za kusisimua na kuogofya.Siku za mbeleni nitaleta hoja zangu ambazo naamini hazitakosa majibu kwa sababu JF ni jukwaa la wabobezi wa mambo mbali mbali.Nawasilisha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app