Ni Mwanasiasa gani anamiliki magari ya kupeleka wafanyakazi migodini Kanda ya Ziwa?

Ni Mwanasiasa gani anamiliki magari ya kupeleka wafanyakazi migodini Kanda ya Ziwa?

Kila biashara mtu akianzisha basi lazima ihusishwe na wanasiasa.Bongo tumejaa majungu na uvivu uvivu wa kufikiri...Blue Coast ni Mali ya Mzee Inyasi...na hajaanza Leo biashara hiyo Mzee...ni Mzee anaheshimika Sana Geita hiyo tender kwake ni ndogo Sana ukilinganisha na TBL...
 
Kuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.

Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?

Tenda alipataje? Ni msafi?
Mkuu Resilience , kampuni hiyo inaitwa Blue Cost inamilikiwa na Mzee Inyasi, sio mwanasiasa!. Karibu mitaa hii
View: https://youtu.be/ZIKYkOFJhpA?si=spQaEqxPMHXJkBI3
P
 
Siyo kweli Blue Coast ni Mfanyabiashara mkubwa,Ana Estate Nyamongholo ,mlipa Kodi Mzuri,ana mahusiano mazuri sana Wafanyakazi ,watu Baki NK,
Hiyo ramli chonganishi kwamba ni Biashara ya Mkubwa ni unafiki.
Tenda za GGM zinatangazwa kwa uwazi ,yeye siyo wa kwanza kupata KAZI hiyo,
Sisi wenye mapenzi na shughuri zake tunazidi kumuombea apate zaidi ,Watoto wetu wapate KAZI,
 
Kuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.

Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?

Tenda alipataje? Ni msafi?
Ya mtoto wa jiwe kwa 100%
 
Sasa unamsikia anatajwa kisha unatuuliza sie huu ni UNAFIKI, we mtaje leta ishu kamili.
 
Na yuko mbioni kufungua kituo cha mafuta,
Na mkimshirikisha ktk shughuli za kijamii anachangia haswa., Ila pia ana watu weledi ktk administration ktk kampuni
 
Back
Top Bottom