Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Bluecoast ni kampuni ya JPMBluecoast ni kampuni kubwa imeanza kazi kitambo,analori zaidi ya 100 zinabeba bia za TBL...hiyo kampuni haina mwanasiasa jamaa ni tajiri kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bluecoast ni kampuni ya JPMBluecoast ni kampuni kubwa imeanza kazi kitambo,analori zaidi ya 100 zinabeba bia za TBL...hiyo kampuni haina mwanasiasa jamaa ni tajiri kitambo
Mkuu Resilience , kampuni hiyo inaitwa Blue Cost inamilikiwa na Mzee Inyasi, sio mwanasiasa!. Karibu mitaa hiiKuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.
Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?
Tenda alipataje? Ni msafi?
Mkuu Resilience , kampuni hiyo inaitwa Blue Cost inamilikiwa na Mzee Inyasi, sio mwanasiasa!. Karibu mitaa hii
View: https://youtu.be/ZIKYkOFJhpA?si=spQaEqxPMHXJkBI3
P
Ya mtoto wa jiwe kwa 100%Kuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.
Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?
Tenda alipataje? Ni msafi?
Mi pia najua ivyo mkuuBluecoast ni kampuni ya JPM
vice pmBlue coast
Diamond Trust Bank