Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Bluecoast ni kampuni ya JPMBluecoast ni kampuni kubwa imeanza kazi kitambo,analori zaidi ya 100 zinabeba bia za TBL...hiyo kampuni haina mwanasiasa jamaa ni tajiri kitambo
Mkuu Resilience , kampuni hiyo inaitwa Blue Cost inamilikiwa na Mzee Inyasi, sio mwanasiasa!. Karibu mitaa hiiKuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.
Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?
Tenda alipataje? Ni msafi?
SafiMkuu Resilience , kampuni hiyo inaitwa Blue Cost inamilikiwa na Mzee Inyasi, sio mwanasiasa!. Karibu mitaa hii
View: https://youtu.be/ZIKYkOFJhpA?si=spQaEqxPMHXJkBI3P
Ya mtoto wa jiwe kwa 100%Kuna kampuni za kupeleka wafanyakazi kazini kwenye migodi Geita; kila zikipita mjini linatajwa jina la mwanasiasa kijana hapa NCHINI.
Magari hayo ya rangi ya blue yapo zaidi ya mia mbili na kiongozi husika anayetajwa hana historia ya biashara; je kama ni ya kwake amekopeshwa au amenunua cash?
Tenda alipataje? Ni msafi?
Mi pia najua ivyo mkuuBluecoast ni kampuni ya JPM
vice pmBlue coast
Diamond Trust Bank