Ni Mwandishi gani wa habari nchini anaweza kumhoji Tundu Lissu kwa uelewa ulio sawa?

Ni Mwandishi gani wa habari nchini anaweza kumhoji Tundu Lissu kwa uelewa ulio sawa?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno, ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama, ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga, inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto), ila kwa Umuhimu wake ni Hazina, ni kama walivyo Akina MPINA, GWAJIMA, wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa.

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama, HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe, ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...

Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake.

Tukubali tu, Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo
 
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno , ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama , ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga , inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto) , ila kwa Umuhimu wake ni Hazina , ni kama walivyo Akina MPINA , GWAJIMA , wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa .

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama , HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe , ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...


Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake .

Tukubali tu , Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo

mdomo umemponza, mdomo unamrudisha kwa mabwenyenye ya magharibi yanayombackup mikono mitupu dah!🐒
 
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno , ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama , ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga , inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto) , ila kwa Umuhimu wake ni Hazina , ni kama walivyo Akina MPINA , GWAJIMA , wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa .

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama , HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe , ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...


Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake .

Tukubali tu , Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo

Walikuwepo akina Sam Mahela na Spancer Lameki wakazimwa na Bwana Yule baada ya kuona Wame Outshine tbcccm
 
Tundu Lissu anaweza akawa the best politician tuliyewahi kumpata Tanzania baada ya Oscar Kambona.

Huyu jamaa kanyooka, yuko vizuri upstairs, ana uelewa mkubwa sana wa mambo na sio mnafiki.

Zaidi ana sifa ya ziada ya kutokuwa na tamaa ya fedha na utajiri.

No wonder Magufuli alitaka kumuua huyu jamaa ni mtu wa kipekee sana!

Ningekuwa na uwezo wa Mungu ningemfanya awe rais wa Tanzania mwaka kesho.
 
Tundu Lissu anaweza akawa the best politician tuliyewahi kumpata Tanzania baada ya Oscar Kambona.

Huyu jamaa kanyooka, yuko vizuri upstairs, ana uelewa mkubwa sana wa mambo na sio mnafiki.

Zaidi ana sifa ya ziada ya kutokuwa na tamaa ya fedha na utajiri.

No wonder Magufuli alitaka kumuua huyu jamaa ni mtu wa kipekee sana!

Ningekuwa na uwezo wa Mungu ningemfanya awe rais wa Tanzania mwaka kesho.
 
Muiteni Mlopokaji, Muiteni mwendawazimu, call him Vyovyote unavyoweza kwakua una mdomo, na una bando lako.

Ukweli ni Kua TUNDU LISSU ni Moja ya Wanadamu wanaosoma na Kisha alichokisoma akawa na Uwezo wa kukiweka kwenye matendo, ni Moja ya watanzania wenye Karama za Uongozi, ni Moja ya Watanzania wenye kuijua Haki Kwa Matendo na maneno , ni Moja ya watanzania wenye UELEWA MPANA MNOO.

Huyu TUNDU LISSU, ukimuondolea habari za Uchama , ni MTU Mmoja wa muhimu sana sana ambaye Taifa lilitakiwa Kumtumia badala ya kumtenga , inawezekana ni Kwa sababu ya ndoto zake kutongoza Nchi( Sio mbaya Kila MTU ana ndoto) , ila kwa Umuhimu wake ni Hazina , ni kama walivyo Akina MPINA , GWAJIMA , wanapoongea unaona kabisa wanaongea Kwa Uelewa mkubwa .

Wenda wewe ni NCCR, CCM, CDM, TLP, CUF n.k Imani yako ya kufia Chama , HAITAKAA Kamwe kubadili ukweli Huu ya kua TUNDU LISSU alijaaliwa kua na kitu ambacho ni watu wachache sana hubarikiwa nacho, na hiko kitu ni MUNGU mwenyewe huamua kumpa Mwanadamu.

LISSU ananikumbusha LUAGA MPINA, watu wanaosoma sana, ni watu wasotosheka na maarifa, ni watu wanaopenda kua taarifa sahihi tena Kwa kuzifatilia wao wenyewe , ananikumbusha juu ya Haya, LISSU ni MTU ambaye hata aanze kutoa hotuba Asubuhi Hadi Jioni, hatuwezi kuchoka kumsikiliza...


Unaweza ukawa mbishi tu juu yake sababu Binadamu ni mbishi, ila hiyo haitakufanya usahau wakati unasoma, iwe Shule au Chuo, kulikua na MTU Mmoja huyo Kupanga, yaan yeye ni Kipanga tuu na ana Uelewa wake wa kuzaliwa na Karama zake .

Tukubali tu , Watu aina ya LISSU, sio wa kufurahia kuondoshwa, ni watu muhimu sana ikiwa watatumika.


View: https://www.youtube.com/live/_xLLBAj0HqM?si=IbMHc9sZhVf2zrgo

Kikeke ndio size yake
 
Tundu Lissu anaweza akawa the best politician tuliyewahi kumpata Tanzania baada ya Oscar Kambona.

Huyu jamaa kanyooka, yuko vizuri upstairs, ana uelewa mkubwa sana wa mambo na sio mnafiki.

Zaidi ana sifa ya ziada ya kutokuwa na tamaa ya fedha na utajiri.

No wonder Magufuli alitaka kumuua huyu jamaa ni mtu wa kipekee sana!

Ningekuwa na uwezo wa Mungu ningemfanya awe rais wa Tanzania mwaka kesho.
Tundu hana tamaa tofauti na watzania wote walivyo


Ana potential ya kuwa bilionaire, anaweza kuungana na magenge ya wizi, waporaji na akaiba Nchi nzima asijue hata mtu mmoja kutokana na uwezo wake mkubwa wa ufahamu wa mambo.
 
Kikeke ndio size yake
Da!! Kikeke kuna siku alimhoji Fatma Karume, ilikuwa ni shida kubwa. N kama Fatma Karume alikuwa anaongea na mtoto mdogo wa darasa la kwanza anamfundisha. NB: Kikeke sidhani ni mbaya sana kwenye mahojiano ila tatizo sasa hivi anakuwa kama chawa wa CCM hivyo anajikuta akiuliza maswali ya kijinga.
 
Back
Top Bottom