Hao wale tu cha muhimu wasije ing'oa hapo ๐Nakushauri kabla hamjaendelea mbele, mje niwafungishe Ndoa ya Mkeka.
Tena hakikisha kabla hajaanza Masomo ya Semester ya kwanza ameshaanza kulamba odongo, vinginevyo wale Vijana wa hovyo wa kule Chuo Kikuu lazima wakuzidi Kete ๐
Hahaha.............ndiyo wawage wastaarabu, kama wakiwa wametoka Mitaa ya Kwa Lulenge kule si balaa ๐Hao wale tu cha muhimu wasije ing'oa hapo ๐
Nasikia wanakamia balaa ๐Hahaha.............ndiyo wawage wastaarabu, kama wakiwa wametoka Mitaa ya Kwa Lulenge kule si balaa ๐
Mama Yangu aliniambia mapema. Na Namkubali sana kwa kunipa huu ujumbe mapema.Jukumu la Kumsomesha Mchumba/Mpenzi ni la Mzazi wake.
Tuacheni kuingilia majukumu ya Wazazi.
Mchumba hasomeshwi
Unadhani kisa cha Mimi kufuga Mbwa Mkali pale nyumbani si ilikuwa kuwadhibiti hao Vijana dhidi ya Wajukuu zangu ๐Nasikia wanakamia balaa ๐
Hahhaha suala ya msimamo kuhusu chini ya kitovu kila mtu afe na msalaba wake aseee๐๐wanaume mnachekeshaga na misimamo yenu ya mtandaoni!
Wakati huku uraiani watu tunalipiwa ada!โบ๏ธ
Babu sipendi kukuambia ukwel kuhusu hao mbwa wako watakavyo baki kupigania minofu na kusahau kazi yao๐Unadhani kisa cha Mimi kufuga Mbwa Mkali pale nyumbani si ilikuwa kuwadhibiti hao Vijana dhidi ya Wajukuu zangu ๐
Hao Vijana hawafai hata kidogo ๐
Kumbe kuna mjukuu wa babu unammendea?๐Babu sipendi kukuambia ukwel kuhusu hao mbwa wako watakavyo baki kupigania minofu na kusahau kazi yao๐
Acha wanyooshwe hao wajingamjubaaaaaa kama mjubaaaa ndio dawa yao, sema miwanaume mingine bado ina ujinga mwingi
Wewe ni mjukuu wa babu pia๐Kumbe kuna mjukuu wa babu unammendea?๐
Alifanya vizuri kukusanuwa mapema, unaweza kupata kesi ya mauji Kwa Kumsomesha Mchumba ambaye baada ya kumsaidia kuhitimu Chuo anakupiga kibutiMama Yangu aliniambia mapema. Na Namkubali sana kwa kunipa huu ujumbe mapema.
Pesa ni makaratasi babu ,zinapotea zinatafutwa na zinapatikana kama nina piga kwa wakati sioni shida kusomesha no mata wati๐Alifanya vizuri kukusanuwa mapema, unaweza kupata kesi ya mauji Kwa Kumsomesha Mchumba ambaye baada ya kumsaidia kuhitimu Chuo anakupiga kibuti
Wahuni kitu gani kwani wameing'oa hapo?Babu huyo amechelewa wahuni washafanya yao kwangu๐
Wewe huogopi makombo?๐Wahuni kitu gani kwani wameing'oa hapo?
Wewe ichungulie tu kama ipo na mimi jua nipo๐Wewe huogopi makombo?๐
Short and clearAmejieleza sana alitakiwa kusema MCHUMBA HASOMESHWI.