Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Nimekuruhusu umchukue Mjukuu 🤗Babu eti ,umesikia huko mimi nafaa🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuruhusu umchukue Mjukuu 🤗Babu eti ,umesikia huko mimi nafaa🤗
Bora usielewe hivyo hivyo Mjukuu 😜Babu! Nafikiria nini maana ya hii ndoto🤔
Mimi mbona bado mdogo😂
😀😀😀😀 mwamba kanyosha kama lula
Inawekwa dhamana, sasa mkopo bila dhamana si sawa sawa na msaada tuHahaha,
Mwamba ana majibu balaa, ila ndiyo ukweli.
Ila hata akimkopesha mbele ya mashahidi na ndugu inasaidia nini, atalipaje? Maana anaweza kuhitimu akakuta hakuna kazi, hakuna kipato.
Nooo usije ukaachwa 😁Unataka niachwe?🙄
Basi tuliza wenge..!🙄Nooo usije ukaachwa 😁
SawaaBasi tuliza wenge..!🙄
😄😄😄we jamaa umetisha sana, hutaki kupata kazi ya kuua mtu hahahahah! Ni mwendo wa mkataba mpaka mahakma ya mwanzo ihusike hahahaha!
MWanao wa kiume nadhani utampa hongera sana😅Uchoyo huo 😅
Dah,Inawekwa dhamana, sasa mkopo bila dhamana si sawa sawa na msaada tu