Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulipopeleka vyeti kwenye faili lako hakuna kopi ya vyeti??Mleta mada acha uzwazwa, hizo details mbona zipo kwenye fomu ya OPRAS na kuwa kila mwaka tunajaza!
Hospitali ipo karibu na mto?Jana mkuranga hosp manes kumi na nne wamezombwa na maji,,wanatakiwa waajiriwe watu smart waliosota kwel shule kihalali
Hahaaaa KUNA MAKAMPUNI DIR WOTE ACTN SIJUI BARUA YA KUTHIBITISHWA WANATHIBITISHA NANI..NAPITA TUKuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka
NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
Hivyo vyote nimesikia viko viko kwenye "OPRAS "! Kwa hiyo hii post yako nina mashaka nayo. Na hizo fomu nimeambiwa wanajaza kila mwaka. na baada ya miezi sita.Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka
NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
umekula maharage ya wapi izo ni taarifa za utumishi na zipo masijara katika kila idara acha ujingaKuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka
NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
Jana mkuranga hosp manes kumi na nne wamezombwa na maji,,wanatakiwa waajiriwe watu smart waliosota kwel shule kihalali
HahahahahKuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka
NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.