Tetesi: Ni mwendo wa uhakiki watumishi wa umma kwa kwenda mbele

Tetesi: Ni mwendo wa uhakiki watumishi wa umma kwa kwenda mbele

Kama uhakiki unafanyika wakati anayehakiki ana hizo taarifa basi sasa ni muda muhafaka kumhakiki na anayefanya uhakiki usio kuwa na mwisho na kuonekana not systematic and not objective.
Kwakweli
 
Uhakiki gani usioisha huu.ni USe....ge
hawajiamini na wanachofanya kila siku mxiuuu
 
Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka

NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
Hahaaaa KUNA MAKAMPUNI DIR WOTE ACTN SIJUI BARUA YA KUTHIBITISHWA WANATHIBITISHA NANI..NAPITA TU
 
Pic. Bolton, Wolverhampton all win. Lyon and Olympic marseille all 1x..nice day. ..
 
Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka

NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
Hivyo vyote nimesikia viko viko kwenye "OPRAS "! Kwa hiyo hii post yako nina mashaka nayo. Na hizo fomu nimeambiwa wanajaza kila mwaka. na baada ya miezi sita.
 
Utakuwa ni ungese Wa kiwango cha standard gauge

huwezi kuwa shujaa bila kuwa muhuni
 
Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka

NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
umekula maharage ya wapi izo ni taarifa za utumishi na zipo masijara katika kila idara acha ujinga
 
Kama watumishi kila siku wako busy na uhakiki, hiyo kazi wanaifanya saa ngapi, na hiyo misemo yao ya hapa kazi tu...
 
Kuna uhakiki mwingine wa aina yake unakuja., nasikia unatakiwa kuwasilisha Taarifa zifuatazo.
1. Majina yako matatu
2. File namba
3. Tarehe ya kudhibitishwa kazini
4. Ngazi ya Mshahara
5. Kiwango cha mshahara
6. Ngazi ya taaluma
7. Cheo chako cha sasa
8.Tarehe ya cheo cha sasa
9. Cheo cha Madaraka

NB: Kama kuna mtu huko aliko ofisini kwake wameletewa hizo taarifa naomba atusaidie kujua kama ni kweli au uzushi tu.
Hahahahah

Pole zenu

Ina maana hakuna haja wa maafisa utumishi sasa..... maana hizo data zote kwa mwajiro smart anatakiwa awe nazo kwenye file
 
Ni kweli, nyongeza
10. Cheti cha kuzaliwa
11. Cheti cha ndoa
12. Picha 2
13. Salary slip ya kwanza wakati unaajiriwa.
Uhakiki ni zoezi endelevu.

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom