hehemnyalu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 703
- 691
You are still too young....yaani miezi mitatu tu waanza kulalama...watu tulikaa kwenye gemu miaka miwili wa tatu ndo mtu akaumuka so keep waiting na kuwa na subira pia epuka maneno ya dada zako,kwani hao waanzishaji mtiti kama hauna msimamo unamwaga akienda upande wa pili imoooo....wabaki kijilauma tuliza boli dogo.
Ana miaka 19 ...born 2000...and I have 28 yrs