hehemnyalu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 703
- 691
Ana miaka 19 ...born 2000...and I have 28 yrs
ThanksYou are still too young....yaani miezi mitatu tu waanza kulalama...watu tulikaa kwenye gemu miaka miwili wa tatu ndo mtu akaumuka so keep waiting na kuwa na subira pia epuka maneno ya dada zako,kwani hao waanzishaji mtiti kama hauna msimamo unamwaga akienda upande wa pili imoooo....wabaki kijilauma tuliza boli dogo.
Anakunywa vidonge huyo. Hataki kukuambia maana wewe unataka mtoto. Kama alishakuambia hivyo basi lazima anajilinda asipate mimba. Maana kwa miaka 19 fertility ipo njema like never before. Reproductive organs bado hazijaishi miaka mingi huwezi linganisha na mwanamke wa 45 yrs ambae ovary zake zimechoka tena wakati mwingine hata mayai haziproduce.I urgently need it!!! Ila wife aliwahi niambia anahtaji mimba akiwa na age ya 22 so nawazaga Labda anafanya manoeuvres ya kumanipulate hii kitu!!!....ni zipi dalili za mwanamke atumiaye family planning kwa siri!!!???
Hupaswi kukata tamaa miez mitatu ni michache sana pia mnapaswa kwenda hospitari kuna ushauriAna miaka 19 ...born 2000...and I have 28 yrs
Akija lazima nimhoji ....asipoeleza ukweli tutaenda hospitalAnakunywa vidonge huyo. Hataki kukuambia maana wewe unataka mtoto. Kama alishakuambia hivyo basi lazima anajilinda asipate mimba. Maana kwa miaka 19 fertility ipo njema like never before. Reproductive organs bado hazijaishi miaka mingi huwezi linganisha na mwanamke wa 45 yrs ambae ovary zake zimechoka tena wakati mwingine hata mayai haziproduce.
Acha kiherehere...subiria.Ni miezi mitatu sasa tangu tuoane na mke wangu na tumekuwa tukifanya ngono mara kwa mara ili tuanzishe familia lakini mke wangu hajashika ujauzito hadi sasa.
Je, nini inaweza kuwa sababu?
Inategemea. Vidonge wengine wananenepa,wengine vinawakataa wanapata bleed kwa mwezi mara mbili. Dalili zinatofautiana. Ila pia mwambie kama anatumia njia ya kuzuia uzazi kamwe asichome sindano,kuweka kijiti ama kuweka kitanzi. Maana anaweza asizae kabisa ikifika kipindi anahitaji mtoto. Hizi zinashauriwa watumie waliozaa tayari atleast watoto 3.Ila vidonge ni sawa hakuna madhara hata kama haujazaa.I urgently need it!!! Ila wife aliwahi niambia anahtaji mimba akiwa na age ya 22 so nawazaga Labda anafanya manoeuvres ya kumanipulate hii kitu!!!....ni zipi dalili za mwanamke atumiaye family planning kwa siri!!!???
Muache. Acha utoto. Ndo kwanza ana 19.Msikilize kama alivyokushauri afike 22 kwanza.Akija lazima nimhoji ....asipoeleza ukweli tutaenda hospital
Ahsante sanaInategemea. Vidonge wengine wananenepa,wengine vinawakataa wanapata bleed kwa mwezi mara mbili. Dalili zinatofautiana. Ila pia mwambie kama anatumia njia ya kuzuia uzazi kamwe asichome sindano,kuweka kijiti ama kuweka kitanzi. Maana anaweza asizae kabisa ikifika kipindi anahitaji mtoto. Hizi zinashauriwa watumie waliozaa tayari atleast watoto 3.Ila vidonge ni sawa hakuna madhara hata kama haujazaa.
Ila miaka 19 bado mdogo. Mwache mwenzio afurahie ndoa mkiwa wawili. Kama alivyosema atazaa akifika 22.
Muda mnao. Menopause ni mpaka 46 huko.
Wewe umewahi Kumpa mtu mimba??Ni miezi mitatu sasa tangu tuoane na mke wangu na tumekuwa tukifanya ngono mara kwa mara ili tuanzishe familia lakini mke wangu hajashika ujauzito hadi sasa.
Je, nini inaweza kuwa sababu?
Tuliza presha.Akija lazima nimhoji ....asipoeleza ukweli tutaenda hospital
ThanksTuliza presha.
Mtoto hatafutwi mitandaoni.
Mtoto hatafutwi kwa wasiwasi
Miezi 3 michache
Mwanamke akiwa na stress tu anaweza asishike mimba.
Inaonesha asipokuja kuzaa utamuacha.
Unapoanza ndoa usiwe na presha na watoto mfanye mke alirax kisha endeleeni na maisha kila siku. Siku isio na jina mtakuta imeingia yenyewe.
Ukiza watu wazima huko uliko, rafiki na ndugu. Waliooa zamani. Acha papara
Mkafanyiwe check up woteSijawahi