Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inachukua muda gani ?Kwa uzoefu wangu. Maana ni majuzi tuu nilikuwa nafatilia hiyo kitu (Hati) kwanza kabisa kiwanja kinatakiwa kiwe kimelipiwa Hapo Ardhi (Ofisi za Ardhi za kiwanja husika) na kiwe kimelipiwa pia TRA (Yaani umeshakadiliwa). Kisha baada ya hapo unarudi tena Ardhi wanaenda kukupimia tena kwa ajili ya kutengeneza Hati sasa. Zile form za vipimo zitaambatanishwa na form nyingine pamoja na Control number ya kulipia pamoja na form za mwanasheria. Utasaini wew pamoja na mwanasheria. Kisha utarudisha Ardhi baada hapo ndo unapewa Hati yako.
Garama zikoje?Kwa uzoefu wangu. Maana ni majuzi tuu nilikuwa nafatilia hiyo kitu (Hati) kwanza kabisa kiwanja kinatakiwa kiwe kimelipiwa Hapo...
Habari kaka mimi nimenunua kiwanja kwa mtu aliyekua anakata viwanja kwenye shamba lake kubwa na kuuza ila kwa bahati mbaya nimekuja kugundua kile kiwanja alicho niuzia aliniuzia kutoka kwenye shamba ambalo lilikua na hati tayari tofauti na wenzangu walio kua wanauziwa squatter sasa naomba kujua je naweza kupima kiwanja changu maana nyaraka zote za mauziano ninazoFika Halmashauri ya wilaya kiwanja kilipo utapata maelekezo zaidi...
Kama eneo kilikuwa na Hati tayari unatakiwa kuwa na deed of surrender.Habari kaka mimi nimenunua kiwanja kwa mtu aliyekua anakata viwanja kwenye shamba lake kubwa na kuuza ila kwa bahati mbaya nimekuja kugundua kile kiwanja alicho niuzia aliniuzia kutoka kwenye shamba ambalo lilikua na hati tayari tofauti na wenzangu walio kua wanauziwa squatter sasa naomba kujua je naweza kupima kiwanja changu maana nyaraka zote za mauziano ninazo
hpo kuna kaz kidogo kwanza inatakiwa huyo mwenye hat hairudishe ikafutwe then ndio unaeza anza process za upimaji upyaHabari kaka mimi nimenunua kiwanja kwa mtu aliyekua anakata viwanja kwenye shamba lake kubwa na kuuza ila kwa bahati mbaya nimekuja kugundua kile kiwanja alicho niuzia aliniuzia kutoka kwenye shamba ambalo lilikua na hati tayari tofauti na wenzangu walio kua wanauziwa squatter sasa naomba kujua je naweza kupima kiwanja changu maana nyaraka zote za mauziano ninazo
nyaraka zote za mauziano ninazo
Apo inatakiwa zianze taratibu za kurejeshwa/Surrender ya umiliki wa shamba husika kwa ngazi ya manispaa husika mpaka wizarani Kuna kaprocess mpaka kuipata DEED of Surrender.Habari kaka mimi nimenunua kiwanja kwa mtu aliyekua anakata viwanja kwenye shamba lake kubwa na kuuza ila kwa bahati mbaya nimekuja kugundua kile kiwanja alicho niuzia aliniuzia kutoka kwenye shamba ambalo lilikua na hati tayari tofauti na wenzangu walio kua wanauziwa squatter sasa naomba kujua je naweza kupima kiwanja changu maana nyaraka zote za mauziano ninazo
Kwenye mkataba lazima kuna mwanasheria atakua ame signKampuni mnauzianaje Serikali ya mtaa?Hakuna mwanasheria?