Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Upinzani katika kandanda ni miongoni mwa mambo yanayoufanya mchezo huu kuwa kipekee.
Mfano ni nani bora kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, kati ya Pele na Maradona au Patrick Vieira na Roy Keane?
Achana na hao bara la Afrika limebahatika kuwa na mashujaa ambao wamefanya mambo makubwa kwenye mchezo wa Kandanda.
Leo tuzungumzie moja kati ya magwiji na vipaji maridhawa kuwahi kutokea barani Afrika nao ni Samuel Eto'o na Didier Drogba ni nani asielikumbuka lile goli la kichwa dakika za lala salama dhidi ya Bayern Munich? Au ile kombinesheni matata ya Eto'o na Diego Milito au Eto'o, Messi na Henry?
Ndugu wanajamvi, kwa mtazamo wako unafikiri ni nani mshambuliaji matata wa Kiafrika kati ya Didier Drogba na Samuel Eto'o?
Mfano ni nani bora kati ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, kati ya Pele na Maradona au Patrick Vieira na Roy Keane?
Achana na hao bara la Afrika limebahatika kuwa na mashujaa ambao wamefanya mambo makubwa kwenye mchezo wa Kandanda.
Leo tuzungumzie moja kati ya magwiji na vipaji maridhawa kuwahi kutokea barani Afrika nao ni Samuel Eto'o na Didier Drogba ni nani asielikumbuka lile goli la kichwa dakika za lala salama dhidi ya Bayern Munich? Au ile kombinesheni matata ya Eto'o na Diego Milito au Eto'o, Messi na Henry?
Ndugu wanajamvi, kwa mtazamo wako unafikiri ni nani mshambuliaji matata wa Kiafrika kati ya Didier Drogba na Samuel Eto'o?