enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,089
- 3,634
Jonh BokoHamna straika pale, Lukaku hana tofauti na Mavugo.
Haaa! Kumbe Manure ni timu kubwa...basi sawa!
Lukaku man u ni mzigo kama wasira alivyo mzigo CCM
ahahaaa anafunga timu ndogondogo tu
Hahaha... nilishukuru sana chelsea walivyoshindwa kumsajili...
Mi simpendi kwa sababu anacheza mpira wa kizamani... Morata ni modern striker kabisa bila kujali atafunga ngapi
Jamaa si nasikia Ana Bonge la boro,walikuwa wanamumba
Huyu jamaa hana uwezo wa kucheza timu kubwa! Hajui kukontroo mpira, ana touch mbovu, ni mzito sana na mwisho huwa haonekani kwenye mechi kubwa, kwa kifupi ni mzigo na hafai kuwepo kwenye timu kubwa kama Man Utd!
Povu ruksa...
Mimi nitabaki na huyu mpumbavu Mkhitaryan....sijui anafanya nini hapa kwenye hii timu.
Manchester Unitedwanamumba ndo nini wewe?? umezoea umbeya hadi kuandika unachapiachapia tu
Mnunue ww ssa hyo costa atakusaidia sie tusha mtumia katulipa bdo ww huyo lukaku wako atakulipa linAcha uongo wewe hata morata hana sifa ya ustriker ni mzigo tu kukokota mpira hawez wala kupiga chenga akibak na bek mmoja hana hata ubavu wa kumtoka muda wote anaanguka tu asubir mhispania mwenzie azpillicueta ampigie kross atumie kichwa tu striker aloekuwepo chelsea diego costa hata pawe na mzingira magumu utaliona tu
unaongea kwa mhemuko mzeeAcha uongo wewe hata morata hana sifa ya ustriker ni mzigo tu kukokota mpira hawez wala kupiga chenga akibak na bek mmoja hana hata ubavu wa kumtoka muda wote anaanguka tu asubir mhispania mwenzie azpillicueta ampigie kross atumie kichwa tu striker aloekuwepo chelsea diego costa hata pawe na mzingira magumu utaliona tu