Ni nani alimshauri Mourinho kumnunua Lukaku Man Utd?

hawa mastraika lukaku, benteke na winfred bon, ni level wa mastraika kwa tim za kawaida ila wakwa timu wanambwela tu, wanashndwa kuscore kama uko walkotoka, utakuta uko ndo walkua main man in the team, kweny tim kubwa wanakuta majna makubwa kma akna pogba n.k
 
Kumhukumu mchezaji kwa matokeo ya game moja is not fair.Pia lazima tuangalie game za Chelsea na Man U ya Mourinho zinakuwa ngumu sana.Wale jamaa wanatukazia sana ili wamuoneshe Mourinho.
 
Mwayasema haya siku mkifungwa, makombe kila timu inayo yanapishana idadi. Kama ni hivyo mnaenda uwanjani kufanya nini?.
Mkuu mlitakiwa kwanza mkubaliane vigezo vya timu kubwa ni ipi......
1-idadi ya makombe.
2-ukubwa wa kikosi na gharama yake..
3-brand ya timu...
4-utajari wa timu...
5-idadi ya mashabiki...

Nawe ongeza vigezo....
 
Mkuu mlitakiwa kwanza mkubaliane vigezo vya timu kubwa ni ipi......
1-idadi ya makombe.
2-ukubwa wa kikosi na gharama yake..
3-brand ya timu...
4-utajari wa timu...
5-idadi ya mashabiki...

Nawe ongeza vigezo....

3,4 NA 5 ndio vinavyodetermine ukubwa wa timu. Kwa mbali inafuatia 1 na 2 ni ya mwiso.
 
3,4 NA 5 ndio vinavyodetermine ukubwa wa timu. Kwa mbali inafuatia 1 na 2 ni ya mwiso.
Kama ni ivo Man U ni klab kubwa maana

...Man U ni Klabu tajiri zaidi duniani ya mipira wa miguu
{{meta.title}}

.... Man U ni klabu yenye washabiki wengi zaidi duniani
Top 7 Football Clubs with Biggest Fanbase Worldwide Today

.... Man U ni band kubwa na yenye nguvu zaidi kwenye klab za soka duniani
Study names the 10 most powerful brands in football: Half are Premier League clubs

Man U wanazingua sana uwanjani hivi karibuni lakina bado statistics zao ziko vizuri
 
Ni wachache sana hatukuingia kwenye mkumbo wa kumponda Morata na kumsifia Lukaku ambaye alianza msimu kwa mbwembwe.

Haya sasa nadhani jana mashabiki wa Man untd mmeona mlichonunua, striker ambaye hayupo clinical kabisa, Bodi ya Man untd itajuta sana kutoa mijihela yote na kumuacha Rooney asepe kirahisi.

Morata afadhali yake ni kwamba anaweza kucheza nafasi kibao mbele na ni mwepesi zaidi katika kuanzisha mashambulizi na angalau ugeni wake kwenye ligi unampa ahueni kuliko huyu ndugh yetu ambaye anazingua tuu kila saa.

Kumtegemea Lukaku ni kama arsenal inavyomtegemea Giroud , muda wowote anawaachia shuka
 

Attachments

Huyu lukaku ndio nani??
Maana asubuhi nimepita stendi ya daladala kila mtu anamtukana kwa matusi mazito mazito..

Au ndo agent wa CCM aliyeiba kura za udiwani na kuwapiga nA kujeruhi makamanda??
 
kukosa hilo goli ndio bure? zile mishe mishe za lukaku pale mbele ndio zinapelekea kina martial wafunge.

whoscored mechi ya jana lukaku wamem rate 7.64 ambayo ni record nzuri tu.

https://www.whoscored.com/Players/78498/Show/Romelu-Lukaku

na mpaka sasa hizi ndio record zake

-manchester amecheza mechi 19 ana goli 11 na assist 4

-ubelgiji mechi 8 goli 11

-jumla mechi 27 goli 22 na assist 4.

kifupi lukaku amefanya contribution 26 za magoli katika mechi 27 alizocheza. kama unaona hii ni bure then itakuwa ni wale mnaojua mpira ni chenga na matobo.
 
Huyu lukaku ndio nani??
Maana asubuhi nimepita stendi ya daladala kila mtu anamtukana kwa matusi mazito mazito..

Au ndo agent wa CCM aliyeiba kura za udiwani na kuwapiga nA kujeruhi makamanda??
Mashabiki wa man untd watakuja kumuelezea
 
Sio kukosa goli, lukaku anakosa magoli tena ya wazi kitu ambacho ni risk kwa timu kubwa kama man untd kumtegemea mtu kama huyu hasa unapocheza champions league na unakutana na timu zenye washambuliaji clinical kama Robert lewandowski, Lionel Messi au Cristiano Ronaldo huku ukikumbuka Man united wamemwaga zaidi ya Paundi mililioni 70 kupata huduma zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…