Ni kweli wanachofanya ni sahihi lkn walinzi (lugha ya alama)wafanya usafi (lugha ya alama)pale kanteen kwao (lugha ya alama)hivi mgeni akiwa na changamoto ya maulizo huna wa kumuuliza haraka haraka maana ndio wanaopatikana kwa urahisiNi binadamu lakini sio vyema kuwatumia sehemu za jumuia ya watu wa aina tofauti tofauti. Baadala yake wawatumie watu wenye uwezo wa lugha na alama mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbinguni kwa kipenzi chetu YesuMBONA HOSPITALINI UNALIPA KWANI UNATIBIWA BURE? USHAONA WAPI KUNA HUDUMA ZA BURE
Nilimsikia yule Professa Janabi akisema wamefanya hivyo kwa sababu magari mengi yaliyokuwa yanapaki pale ni ya watu wasio na wagonjwa..
Yani mtu anaona kuliko akalipie parking Kariakoo au Posta, ni bora akapaki kigari chake pale kisha anashika mwendokasi chap kufanya shughuli zake mjini kisha jioni anakipitia..
Wengine walikuwa wanaenda mbali hata kupaki magari yao pale kwa siku hadi wiki..
Usipaki hata kununua kiberiti dukani wanakulipisha parking,hao tarura kwann wasijenge parking zao ndipo walipishe
Hahah umekua mkal sana hayo yalikua ni majibu ya prof janabi mkuu.Basi huna maarifa sahihi ya kukuongoza na hufai kuwepo hapo ulipo.
Getini kuna walinzi? Kazi yao ni nini?
Wagonjwa wana kadi? Kazi za kadi ni nini?
Hizo parking hazina walinzi? Kazi yao ni nini?
Hahah umekua mkal sana hayo yalikua ni majibu ya prof janabi mkuu.
Biashara za watu hiziNi nani alieanzisha biashara ya parking MUHIMBILI?
Pesa inayopatikana inamnufaisha nani?
Ni haki kumtoza pesa mgonjwa kwa kupaki gari lake tu?
Ni kweli binadamu mtanzania amekosa utu na huruma kiasi Cha kutoza pesa WAGONJWA?
Ngoja nikwambie ilikuaje wakaanzisha.Ni nani alieanzisha biashara ya parking MUHIMBILI?
Pesa inayopatikana inamnufaisha nani?
Ni haki kumtoza pesa mgonjwa kwa kupaki gari lake tu?
Ni kweli binadamu mtanzania amekosa utu na huruma kiasi Cha kutoza pesa WAGONJWA?
Kwa muhimbili nakubaliana na profesa Janabi, magari yalikua yanajaa pale, ukienda kumuona mgonjwa unapata paking kwa taabu, uzuri ndani saa 1, ni bure baada ya hapo unalipia.Waangalie na maeneo Leo hata ukipaki tu nje ya nyumba yako wanakulipisha
Alianzisha Mkurugenzi wa Muhimbili prof , hukusikia alisema watu wznakwenda kupack magari pale then wanaakwenda mjini jioni wanaafata magari yao, Sasa Keisha jeuriNi nani alieanzisha biashara ya parking MUHIMBILI?
Pesa inayopatikana inamnufaisha nani?
Ni haki kumtoza pesa mgonjwa kwa kupaki gari lake tu?
Ni kweli binadamu mtanzania amekosa utu na huruma kiasi Cha kutoza pesa WAGONJWA?
Hama nchiKila Kinachofanyika ..... Kinapata Baraka na Serikali, Wa Kulaumiwa ni Mmoja tu msijifanye hamumjui....!
Tozo za kwenye miamala ya simu....
Mafuta kupanda bei....
Dola hakuna.....
Kizungumkuti cha Bandari.....
Mnadhani ni nani........?
Tusizunguke zunguke...!