Ni nani aliyeharibu Mchakato wa Katiba Mpya? Tuanzie hapo

Ni nani aliyeharibu Mchakato wa Katiba Mpya? Tuanzie hapo

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa?

Je Rais aliyepo Madarakani alihusikaje katika mchakato wa Katiba?

Mnataka mchakato uendelee kuanzia wapi?

Kama kuna aliyeharibu mchakato achukuliwe hatua gani?

Vipi Raisi aliyeko madarakani akisema hakuna pesa za kulipa wabunge wa bunge la katiba. Kutakuwa na option gani?
 
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?

Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Kha! Kwahio nani aliyeharibu? Mbona umeuliza swali very genuine halafu umeishia kuongea ugoro?
 
Umeuliza swala la msingi lakini cha ajabu maelezo ulioweka ni utumbo wa mbwa
 
Mchakato wa katiba uliharibiwa na wanasiasa wajinga waliotaka kupenyeza agenda zao ili waingie ikulu kirahisi matokeo yake yakaibuka malumbano na mwisho wa siku wenye mamlaka wakaamua wauzike tu...

Hata hawa wapiga kelele za katiba mpya ukiwauliza agenda zao utaona ni zilezile za maslahi ya kisiasa ili wapate urahisi wa kuingia madarakani lakini ukiwauliza hoja za msingi zenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi hawana...

Ukiwauliza ni lini mmeitisha maandamo ya watu kupewa elimu bure na bora, huduma za afya bure, fao la kujitoa, kuboreshwa kwa pension za wazee wetu nk nk...
 
Nani aliyeharibu mchakato? Aliharibuje? Nani alieandaa sherehe Dodoma za Kupokea rasimu ya Katiba? Wajumbe walikua akina nani? Ccm iliwakilishwa na akina nani?
Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
 
Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
Niliwahi hadi kuandika kuhusu Mzee Sitta, nadhani niliita thread, "Kisa cha Nabii Mzee na Samuel Sitta" kitu kama hicho, then it happened
 
Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
 
Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
 
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?

Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Kwani na huu uchumi ambao huyo mama amejinasibu kutaka kuujenga kwanza badala ya katiba mpya, ulibomolewa na nani?

Na kama anaweza kuujenga uchumi uliovurugwa na mtangulizi wake wa awamu ya tano na wakati yeye mwenyewe akiwa ni makamu wa Rais, anashindwa nini kuurejesha pia mchakato wa katiba mpya uliovurugwa na wanasiasa maslahi, wakati alipokuwa tena makamu mwenyekiti wa bunge la katiba?
 
Nani aliyeharibu mchakato? Aliharibuje? Nani alieandaa sherehe Dodoma za Kupokea rasimu ya Katiba? Wajumbe walikua akina nani? Ccm iliwakilishwa na akina nani?
Nani walitoka nje na kugomea kutoa mawazo yao kisha wamekuwa na kiherehere cha kudai katiba wakati walizira kama watoto.
 
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?

Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
 
Nani walitoka nje na kugomea kutoa mawazo yao kisha wamekuwa na kiherehere cha kudai katiba wakati walizira kama watoto.

Ulikua wapi wakati naandika huu Uzi? Au ilikua na umri gani?
 
Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
UKAWA unawasingizia. Wao waliunda UKAWA baada ya kuona yale maoni ya wananchi kwenye rasimu ya pili ya tume yametupwa yote, instead CCM wamekuja na kitu kipya kabisa ambacho kilikuwa hakibebi maoni ya wananchi. Rejea upya chanzo cha ukawa
 
Kwani na huu uchumi ambao huyo mama amejinasibu kutaka kuujenga kwanza badala ya katiba mpya, ulibomolewa na nani?

Na kama anaweza kuujenga uchumi uliovurugwa na mtangulizi wake wa awamu ya tano na wakati yeye mwenyewe akiwa ni makamu wa Rais, anashindwa nini kuurejesha pia mchakato wa katiba mpya uliovurugwa na wanasiasa maslahi, wakati alipokuwa tena makamu mwenyekiti wa bunge la katiba?
bila shaka ulisoma topic ya logic.
 
Back
Top Bottom