We ulijuaje nchi haitaji katiba? Unanuuliza % ngapi hivi kitu kikiwa kibovu kikamilishwa kwa 199% kitakuwa na mantiki kwel we msukule?ulijuaje kama nchi inahitaji katiba mpya?..
Je katiba iliyopo inatekelezwa kwa asilimia ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ulijuaje nchi haitaji katiba? Unanuuliza % ngapi hivi kitu kikiwa kibovu kikamilishwa kwa 199% kitakuwa na mantiki kwel we msukule?ulijuaje kama nchi inahitaji katiba mpya?..
Je katiba iliyopo inatekelezwa kwa asilimia ngapi?
Hawakutaka serikali tatu. Ubishi na ujuaji uliua ile nia ya katiba. mara nyingine tujifunze kuwa humble. Kuna yaliyokuwa yanawezekana kwenye ile katiba kwa wakati ule. Yale yangefanyika. Yasiyowezekana yangeachwa pembeni ili wakati muafaka ukifika, nayo yapatiwe maamuzi.Katiba iliharibiwa na lile bunge maalum la wahuni (bunge la katiba), wakiongozwa na Mhe. Samweli Sitta. Ukada wa vyama kwenye lile bunge ndio ulioharibu mchakato mzima wa katiba, hadi wakaja na katiba pendekezwa ambayo ilikuwa pro-Chama tawala.
Ukiacha uharo mwingine ulioacha hapa, mchakato uliharibiwa na ccm & co akiwemo Samia, Mwendazake, kiwete na mahafidhina mengine miccm. Mwendazake akautumbukiza kaburini. Samia badala ya kuu-rescue, naona ana dalili za kuweka udongo.Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Waonaje kama utakuwa mkweli ndugu.Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
umeulizwa swali jibu swali?....toka lini swali likajibiwa na swali? halafu mtu kama wewe ndio umeshupaza shingo unadai katiba mpya....bila shaka hata hiyo katiba ya zamani huifahamu..We ulijuaje nchi haitaji katiba? Unanuuliza % ngapi hivi kitu kikiwa kibovu kikamilishwa kwa 199% kitakuwa na mantiki kwel we msukule?
ccm kwa ujumla waoMnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Ukawa walisusa.Kha! Kwahio nani aliyeharibu? Mbona umeuliza swali very genuine halafu umeishia kuongea ugoro?
Hayakutupwa,,vifungu vilipigiwa kura,kuna vilivyopita,vingine havikupita,,,kwanini ukawa walisusa?UKAWA unawasingizia. Wao waliunda UKAWA baada ya kuona yale maoni ya wananchi kwenye rasimu ya pili ya tume yametupwa yote, instead CCM wamekuja na kitu kipya kabisa ambacho kilikuwa hakibebi maoni ya wananchi. Rejea upya chanzo cha ukawa
katiba siyo suala la kila baada ya miaka mi5 mi5Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
Siyo ubishi,katiba hupigiwa kura,,in this case,ilipigiwa kura kifungu kwa kifungu,,hakuna ubishi hapo,ukawa hawakuwa na majority.Hawakutaka serikali tatu. Ubishi na ujuaji uliua ile nia ya katiba. mara nyingine tujifunze kuwa humble. Kuna yaliyokuwa yanawezekana kwenye ile katiba kwa wakati ule. Yale yangefanyika. Yasiyowezekana yangeachwa pembeni ili wakati muafaka ukifika, nayo yapatiwe maamuzi.
Ujuaji na ego za watu ndio zimeharibu
Nakuuliza maswali ya kilogic basi Sawa mie katiba ya zamani siifahamu na watz wengine wengi hawaijui, tufanye wanaijua wanaccm wenye madaraka na lissu pekee. Haya swali la kilogic kuna ubaya gani kuipatia nchi katiba bora hata kama raia 99% haiwafahamu ile mbovu ya zamani? Au swali jingine la kilogic wewe kama mzazi kipi ni bora kuipelekea familia yako samaki au Joka hata kama familia ilikuwa haijaomba samaki?umeulizwa swali jibu swali?....toka lini swali likajibiwa na swali? halafu mtu kama wewe ndio umeshupaza shingo unadai katiba mpya....bila shaka hata hiyo katiba ya zamani huifahamu..
Kwanza hujui historia ya ukawa. Halafu unaposema 'wangefanikiwa' badala ya 'tungefanikiwa' inaonyesha wewe kwa akili yako unaona katiba mpya nzuri haikuhusu. Na hizi ndio akili za wantanzani baadhi wanaolambishwa pipi na ccm wanasahau maslahi mapana ya taifa hili kwa muda mrefu ujao. Vinginevyo ni uzezeta ndio utawezs kumfanya mtu afikiri kuwa ukawa walikwamisha mchakato wa katiba, wakati wao ukawa walikuwa wanapinga kuchakachuliwa kwa maoni ya wananchi. Well, tufanye (let's assume) uukawa walikwamisha: Je unafikiri hatuhitaji katiba mpya sasa au tuuzime kabisa mchakato ili kuwaadhibu ukawa? Does ukawa exist now?Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
Siyo UKAWA.UKAWA
Ile ya Warioba ilipigiwa kura wapi? Ndio maana nimesema ujuaji unakwamisha kila kitu. We fail to operate strategically. Hii ni Africa naona kama tunajisahau. Mambo yanaenda taratibu sanaSiyo ubishi,katiba hupigiwa kura,,in this case,ilipigiwa kura kifungu kwa kifungu,,hakuna ubishi hapo,ukawa hawakuwa na majority.
Ulitaka huyu akufanyie kila kitu...!!Nchi hii mwenye kupewa lawama ni founder wa msingi wa taifa maana aliona shida kubwa Sana mbele ila mapenzi ya chama chake dhidi ya taifa akakaa kimya uku akijua kaacha kitu Cha hovyo kabisa.
Kumbe haukuangalia bunge la katiba..?ilipigiwa kura na wajumbe na ilifail kupita ndo kukawepo rasimu ya katiba ya chenge,,Ile ya Warioba ilipigiwa kura wapi? Ndio maana nimesema ujuaji unakwamisha kila kitu. We fail to operate strategically. Hii ni Africa naona kama tunajisahau. Mambo yanaenda taratibu sana
Kwa hili Nyerere anastahili lawama atake asitake.Nchi hii mwenye kupewa lawama ni founder wa msingi wa taifa maana aliona shida kubwa Sana mbele ila mapenzi ya chama chake dhidi ya taifa akakaa kimya uku akijua kaacha kitu Cha hovyo kabisa.
Umemaliza mkuu!Mchakato wa katiba uliharibiwa na wanasiasa wajinga waliotaka kupenyeza agenda zao ili waingie ikulu kirahisi matokeo yake yakaibuka malumbano na mwisho wa siku wenye mamlaka wakaamua wauzike tu...
Hata hawa wapiga kelele za katiba mpya ukiwauliza agenda zao utaona ni zilezile za maslahi ya kisiasa ili wapate urahisi wa kuingia madarakani lakini ukiwauliza hoja za msingi zenye manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi hawana...
Ukiwauliza ni lini mmeitisha maandamo ya watu kupewa elimu bure na bora, huduma za afya bure, fao la kujitoa, kuboreshwa kwa pension za wazee wetu nk nk...
Hapa kupata Katiba labda ya TFF!Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa? Amepata hukumu gani?
Mwacheni Mama nyie mjifikirie kwa nini mliharibu mchakato wa Katiba na pesa hamkurudisha. Majizi makubwa nyie. Sasa mnakosa pesa mnataka mje zipata tena kwenye Katiba.