TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Umoja wa Katiba ya Wananchi na wanasiasa wasiyo na maono, hawa waliharibu mchakato mzima, vile walitaka mfumo wa 3 serikali ya Tanganyika, zanzibar na Muungano badala ya 2 na kupelekea kususa kikao kama njia ya kushinikiza.
Hapo ndipo walipofanya kosa ambalo leo lina tugarimu wote.
Hapo ndipo walipofanya kosa ambalo leo lina tugarimu wote.