Ni nani aliyeharibu Mchakato wa Katiba Mpya? Tuanzie hapo

Ni nani aliyeharibu Mchakato wa Katiba Mpya? Tuanzie hapo

Boss unapaswa kuwa objective wakati fulani bila kujali mtazamo wako kisiasa. Aliyeharibu mchakato wa Katiba ni CCM! Hiyo ni fact. walikataa kutimiza maoni ya Tume ya Warioba kwa sababu ya baadhi ya vipengele havikuwa vizuri kwao kama vile kuwa na serikali tatu. Yote yaliyotokea ilikuwa ni kwa sababu CCM walitaka kutupa katiba isiyo na tofauti kubwa na sasa! Mama Samia ni CCM Member kwa hiyo an wajibu katika hili.
Sasa kwani democracy maana yake nini?,wengi wape,hata kama hupendi,,ndio democracy hiyo,
 
Nani alimvamia mwenzie na kwa silaha gani!?
Shida hapa Ni Karume na Mapinduzi yake alitofanya mwaka ule.
Alijua fika kwamba waarabu aliowapindua Wana pacha wao kule Oman na kwamba wanajipanga kuja kukomboa colony lao. Na watakaporudi hatowamudu. Ndipo akaamua kuungana na Tanganyika ili wale jamaa wa Oman wasije maana itabidi wajipange kupigana jamhuri ya Muungano.
Sasa leo kitisho Cha wa Oman kimeisha wanataka kujitoa kwenye Muungano. Wanafikiri eti Muungano Ni sawa na koti, ukisikia baridi unavaa ukisikia joto unavua.
Mimi nadhan Muungano sio koti Bali Ni NGOZI ktk mwili.
USA Ni Muungano wa mataifa 52... leo Ni uhaini kufikiria kuvunja ule muunga kwa mujibu wa sheria na Katiba yao.

Soma kitabu Kwaheri uhuru kwaheri ukoloni utaelewa ni kitu gani kilifanyika.

Muungano tunaambiwa ulifanywa tarehe 26 mwezi Aprili 1964.

Tarehe 12 Januari 1964 yalifanyika mavamizi yanayoitwa mapinduzi. tarehe 14 januari aliyekuwa Waziri Mkuu aliyechaguliwa na wananchi alikamatwa na akapelekwa Tanganyika na kuwekwa gerezani yeye na baraza lake la mawaziri.

Huko Tanganyika hawakupelekwa mahakama yoyote na walikaa kwa zaidi ya miaka 10.

Sasa niambie kama muungano ulifanywa tarehe 26 Aprili 1964. ilikuwaje Nyerere akawakamata na kuwafunga kabla ya huo Muungano??

Kama si Uvamizi ni kitu gani ???
 
Waliyopita ndiyo wameuharibu...

Mpaka kwenda kumpeleka Warioba msobe msobe...
 
Nani alimvamia mwenzie na kwa silaha gani!?
Shida hapa Ni Karume na Mapinduzi yake alitofanya mwaka ule.
Alijua fika kwamba waarabu aliowapindua Wana pacha wao kule Oman na kwamba wanajipanga kuja kukomboa colony lao. Na watakaporudi hatowamudu. Ndipo akaamua kuungana na Tanganyika ili wale jamaa wa Oman wasije maana itabidi wajipange kupigana jamhuri ya Muungano.
Sasa leo kitisho Cha wa Oman kimeisha wanataka kujitoa kwenye Muungano. Wanafikiri eti Muungano Ni sawa na koti, ukisikia baridi unavaa ukisikia joto unavua.
Mimi nadhan Muungano sio koti Bali Ni NGOZI ktk mwili.
USA Ni Muungano wa mataifa 52... leo Ni uhaini kufikiria kuvunja ule muunga kwa mujibu wa sheria na Katiba yao.

Kama ni ngozi si mungaliungana na Kenya au Uganda au Malawi au Rwanda ??
 
Sasa kwani democracy maana yake nini?,wengi wape,hata kama hupendi,,ndio democracy hiyo,
Kumbuka 1992 (labda ulikuwa mdogo) vyama vingi vilianza na "wachache wape!" Kuna mambo ambayo hata uyacheleweshe yatakuja tu! Na katiba ni mojawapo.
 
Katiba ilitibuliwa na serikali ya CCM.Hawawezi kukwepa lawama hiyo.
Nahisi ilitibuliwa kwa sababu hizi.
Japo Kikwete mwanzoni alionekana kama ndio alitaka mabadiliko ya katiba lakini mwisho wake akawa kama anakigugumizi na rasmi ya Jaji Warioba.
Kuna vigogo walipenda ukiugeugeu wa JK,kwa kuwa walitaka wawanie uraisi kwa katiba ya zamani,wakatiwa upofu wa wapambe kwamba kila Kigogo yuko bora kuliko mwezake.
1.Waziri Mkuu Pinda alifikiri yeye ndio top notch hana kashfa za rushwa
2.Lowasa alikuwa popular candidate hakuona wa kumlinganisha.
3.Membe alitegemea kubebwa na JK,akiamini akikatwa Lowassa yeye hana mtu wa kumzuia kwenda Ikulu.
4.Sitta alitaka kutibua Mchakato wa katiba akitegemea ukanda utambeba.
5.Mjomba Maguful yeye alitumia mbinu kama za Membe akamtafuta Godfather Mkapa,na wala hakuamini katika rasmi ya Warioba hadi anaondoka duniani.
 
Soma kitabu Kwaheri uhuru kwaheri ukoloni utaelewa ni kitu gani kilifanyika.

Muungano tunaambiwa ulifanywa tarehe 26 mwezi Aprili 1964.

Tarehe 12 Januari 1964 yalifanyika mavamizi yanayoitwa mapinduzi. tarehe 14 januari aliyekuwa Waziri Mkuu aliyechaguliwa na wananchi alikamatwa na akapelekwa Tanganyika na kuwekwa gerezani yeye na baraza lake la mawaziri.

Huko Tanganyika hawakupelekwa mahakama yoyote na walikaa kwa zaidi ya miaka 10.

Sasa niambie kama muungano ulifanywa tarehe 26 Aprili 1964. ilikuwaje Nyerere akawakamata na kuwafunga kabla ya huo Muungano??

Kama si Uvamizi ni kitu gani ???
Kaka hiyo Ni history yako, sio ile Rasmi tunayoijua wote. Pole
 
K

Kenya, Uganda, Rwanda au Malawi hawakuja kutuomba tuungane wao hawakuogopa kurudi wakoloni wao
Si ndio mkaivamia Uganda kwa staili nyengine Na Kenya ikawashinda mkabaki kubweka kuwaita manyangau huku wakiwapiga magoli kwenye economy
 
Si ndio mkaivamia Uganda kwa staili nyengine Na Kenya ikawashinda mkabaki kubweka kuwaita manyangau huku wakiwapiga magoli kwenye economy
Pole Sana inaonekana umelishwa propaganda mpaka uwezo wa kufikiri umepungua.... Haya tukubali tuliwavamia Uganda halafu??? Tukaikalia Kama unavodai tumeikalia Zanzibar!!???
Je tulivoipiga Uganda Muungano...
Labda tu nikuongezee Tanzania ilikuwa kitovu cha Pan Africanism.. Tumesaidia Nchi nyingi zilizoomba msaada kupambana na wakoloni. Nchi Kama Zimbabwe, Angola, Msumbiji, Sahara Magharibi, Palestina, Afrika Kusini na Nchi nyingine nyingi..
Bahati mbaya Sana Zanzibar mliomba tuungane na sio msaada ktk mapambano.. wenzenu wenye akili waliomba msaada ktk medani lakini nyinyi hamkutaka kuingia kwenye medani ya Vita mkaomba kufunikwa na koti la Tanganyika. Nchi yenye takriban kilomita mraba laki Moja wakati nyie Ni 2500 tu.
Pole sana
 
Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa?

Je Rais aliyepo Madarakani alihusikaje katika mchakato wa Katiba?

Mnataka mchakato uendelee kuanzia wapi?

Kama kuna aliyeharibu mchakato achukuliwe hatua gani?

Vipi Raisi aliyeko madarakani akisema hakuna pesa za kulipa wabunge wa bunge la katiba. Kutakuwa na option gani?
CCM
 
Pole Sana inaonekana umelishwa propaganda mpaka uwezo wa kufikiri umepungua.... Haya tukubali tuliwavamia Uganda halafu??? Tukaikalia Kama unavodai tumeikalia Zanzibar!!???
Je tulivoipiga Uganda Muungano...
Labda tu nikuongezee Tanzania ilikuwa kitovu cha Pan Africanism.. Tumesaidia Nchi nyingi zilizoomba msaada kupambana na wakoloni. Nchi Kama Zimbabwe, Angola, Msumbiji, Sahara Magharibi, Palestina, Afrika Kusini na Nchi nyingine nyingi..
Bahati mbaya Sana Zanzibar mliomba tuungane na sio msaada ktk mapambano.. wenzenu wenye akili waliomba msaada ktk medani lakini nyinyi hamkutaka kuingia kwenye medani ya Vita mkaomba kufunikwa na koti la Tanganyika. Nchi yenye takriban kilomita mraba laki Moja wakati nyie Ni 2500 tu.
Pole sana

Aliomba nani uvamizi ?? wewe ni kijana uliyezaliwa kwa mbio za mwenge nini ??
 
Wewe hiyo ya kwako umesomeshwa msikitini na masheikh wa UAMASHO kwa ushirikiano na hayati MAALIM SEIF...!!??

Hizi ndio lugha za watoto wanaozaliwa kwa mbio za mwenge. Sikulaumu , Uamsho ulianza lini na mavamizi ya Laanatullahi Nyerere yalianza lini ??
 
Waliharibu wapinzani UKAWA kwa vile walitaka serikali 3 badala ya 2 na hivyo kususa kikao kama njia ya kushinikiza. Hapo ndipo walipofanya kosa la kiufundi kubwa. Laiti wangekubali kwenda by peace meal wakaanza na madaraka ya Rais, Tume ya uchaguzi, upatikanaji wa wabunge, mgombea binafsi, nk wakaruka maeneo magumu halafu 5 years later wakayarudia kwa agenda mpya. Pushing by bits. Wangefanikiwa sasa hivi tungekuwa mbali sana. Hii ndiyo mbinu ya majadiliano magumu. You dont push for everything rather moving strategically in win win situation.
Kwa hiyo walitakiwa waanze mdogo mdogo
 
Hizi ndio lugha za watoto wanaozaliwa kwa mbio za mwenge. Sikulaumu , Uamsho ulianza lini na mavamizi ya Laanatullahi Nyerere yalianza lini ??
Wee mtoto ulitokana na mwaka koga, Nyerer aliombwa alinde Mapinduzi yasije kupinduliwa. History inaonyesha wazi jinsi wazanzibar walivokuwa watu wakuomba kusaidiwa ndio maana walimuomba mpaka Jenerali Okello kufanya Mapinduzi alipomaliza akaenda kutangaza Redioni Karume popote ulipo jitokeze uje uchukue Nchi kazi nimemaliza.
Ni ukweli mchungu kwamba Wala urojo hawakuweza kujipigania na kujilinda mpaka waombe msaada kwa kina Okello na Nyerere. Inaonekana wewe uko upande wa Pili wa watu waliopinduliwa na Nyerere akaja kuzuia uwezekano wa nyie kufanya Mapinduzi, ndio maana mnamchukia na kuuchukia Muungano.
 
Ukiwa na Dini ikakujaza chuki,kukosa kujiamini,umaskini wa kifikra,kukosa heshima,kutukana n.k hiyo Dini ni Dini ya shetani moja kwa moja. Haina mjadala.Dini za Mungu hufundisha heshima,upendo,amani,unyenyekevu,kujiamini n.k.

Hizi ndio lugha za watoto wanaozaliwa kwa mbio za mwenge. Sikulaumu , Uamsho ulianza lini na mavamizi ya Laanatullahi Nyerere yalianza lini ??
 
Back
Top Bottom