Mnakuja msumbua mama bure. Mchakato wa Katiba ilikuaje ukasitishwa? Ni nani alifanya uharibifu ule wa pesa?
Je Rais aliyepo Madarakani alihusikaje katika mchakato wa Katiba?
Mnataka mchakato uendelee kuanzia wapi?
Kama kuna aliyeharibu mchakato achukuliwe hatua gani?
Vipi Raisi aliyeko madarakani akisema hakuna pesa za kulipa wabunge wa bunge la katiba. Kutakuwa na option gani?
Hakuna aliyeharibu, ila kuna watu wawili walioliokoa Taifa hili kuangamia baada ya wasaliti kujipanga vizuri kutuvuruga. Wa kwanza ni huyo mtoto wa Msoga, Mkoa wa Pwani. It was a clasic:Kha! Kwahio nani aliyeharibu? Mbona umeuliza swali very genuine halafu umeishia kuongea ugoro?