Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Elections 2010 Ni nani aliyeingiza udini kwenye kampeni hizi?

Status
Not open for further replies.
Acheni upumbavu.fikirieni kabla ya kupost vi2 vyenu.mnataka kuleta Siasa za kidini na kikabila hapa tz kama kenya.mtalimaliza taifa kwa udini.Tanzania hakuna siasa ya udini wala ukabila.Ccm pia haina udini wala ukabila.acheni peng'eng'e zenu zisizokuwa na maana.
 
Mungi.acha mada zisizokuwa na maana.unaweka upupu na wewe ndo baadh ya watu mnaotaka kuleta udini kwenye nchi yetu.Wananchi wanaakili na usiwadanganye kwa mada zisizokuwa na msingi.FIKIRIA SANA
 
MUNGI - huna jipya leta maada za maana sio UTUMBO wako huo unatujazia inzi hapa janvin

Kule kwetu Mbulu SAMATTA ungeshapewa mume. Hata kusoma inakupa shida MPAMBAVU wewe. Kama una ubongo unaoelewa ungenielewa nilichokuwa nasema. Nilisema KIKWETE alikuwa anadai kuna vyama vinahubiri udini, wakati yeye anayafanya kwa vitendo.
 
Wewe una akili sawa sawa? haya mambo tuliisha yakataa ya ku post humu mambo ya udini, usichafue hali ya hewa hapa JF. Nenda kanisani au misikitini ukayasemee haya , sio humu JF.
 
Wewe una akili sawa sawa? haya mambo tuliisha yakataa ya ku post humu mambo ya udini, usichafue hali ya hewa hapa JF. Nenda kanisani au misikitini ukayasemee haya , sio humu JF.

Unaumwa wewe nyoooooooo!!!!!! Hata kusoma hujui.
 
ivi wakiambiwa watanzania watoke mbele na wewe mungi utatoka mbele, wee si mkenya safi tu, umeshawapiganisha kenya then unataka kuhamia tz uwapiganishe, hatupigani katu. Wewe ni miongoni mwa waliochangia kwa kiasi kikubwa slaa na chadema kupoteza kura nyingi za urais kutokana na threads za namna hii. So now unafanya maandalizi kwa ajili ya 2015 siyo? Achana na threads za kipumbavu kama hizi wewe hii serikali ya tanganyika huijui, unamjua igp tu so please usitupeleke huko. Kwani lazma upost thread yoyote hata kama hai-add value yoyote kwa jamii?

kweli nimeamini wewe chamajani, ndiyo maana mpaka jina unaficha ****** yako. Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania tena mpenda haki. Nilichokisema ni kwamba jk anadai kuna vyama vinahubiri udini wakati yeye mwenyewe anahubiri udini.
Komaa akili wewe chamajani.
 
Ama umegeuka,hata wewe?
na Ukabila CCM ndo inaongoza:

Hesabu wakuu wa mikoa wachagga, ma-rpc-wachagga......................................................-> -> ->:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
tikushatoka huko tuendelee na wengineo.... kuna walokole wangapi? siasa kali wangapi? siasa pole... itikadi kali... masalia.... chipolopolo..... kisha tujiulize idadi ya wagombea urais wachagga kwanini huwa inakuwa kubwa!!! tujiulize tena kwanini mabinti wa kichagga ndio wanaoolewa sana na viongozi kuliko kabila zingine.... zamani ilikuwa wapare:smile-big: ukishapata hayo majibu UKABILA, UDINI, ACADEMIA na CHIPOLOPOLO vitaisha:smile-big:
 
Wandugu, ukizungumzia udini nawe ni mdini.

Mi nafikiri tujali utendaji na haki kwa watanzania wote.

Ikiwa kiongozi ni dini yako au nyingine inajalisha nini kama ni mwenye haki kwa kila mtanzania bila kubagua dini?
 
jamani wanajamii udini Tz haupo ila kuna ushikaji na undugu kwa sana na kwa sasa tuanze na mada za Uspika na baraza la mawaziri na pia nini kinafuata baada ya rais aliyetarajiwa DR Slaa kutamka hayatambui matokeo
 
kweli nimeamini wewe chamajani, ndiyo maana mpaka jina unaficha ****** yako. Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania tena mpenda haki. Nilichokisema ni kwamba jk anadai kuna vyama vinahubiri udini wakati yeye mwenyewe anahubiri udini.
Komaa akili wewe chamajani.

Tehe! Tehe! Nilijua lazma utakuja na majibu ya kutaka kuthibitisha kama wewe ni Mtanzania halisi, ndivyo mlivyo raia wababaishaji mkiambiwa ukweli, Mtanzania halisi asingeshtuka akiambiwa kuwa si mtanzania kwani la uongo haliumi bali la ukweli linauma.unfortunately unasahau mpaka unachoandika, omba tu kwa mod afute ulichoandika. tunawajua mmeua mengi tu kwetu, Air Tz, Reli, Bandari-nasema mpo wengi,tunawajua huwa mnajificha katika vyama vya siasa! Dr. Slaa akiingia pale Magogoni wewe huponi hata kama utaandika thread za kujifanya mpambe wake kiasi gani..Sasa/Now Am Kaming Again!!! You! Wewe Mungi-IZ NOT TANZANIAN-Tooooooka kwenye ardhi hii,And you never longer be Tanzanian.
 
Watanzania
Nilihudhulia vikao vya kampeni vya CUF,CHADEMA na CCM na kufuatilia katika Media mwenendo mzima wa Campaign, sikuona chama chochote kijipambanua kuwa na mlengo fulani wa kidini !!!!!

Je propaganda za udini zilitoka wapi? ni wazi ziliibuliwa na Muongo Jk ili kupanda mbegu ya Udini kwa vyama vya CUF na CHADEMA(Vyenye Nguvu) , na hatimaye kuwapumbaza Watanzania kwamba ni CCM tu ndo haina Undini !!!!.

Kwa maana nyingine the disguised message to the public was :
SLAA anafaa sana lakini Bwana , Mkiristo alikuwa padri !!!!!!!!!!!!!!
Lipumba anafaa sana lakini Bwana, CUF ina nguvu sana sehemu za waislamu wengi


Nasema hoja za kikwete zimepanda mbegu mbaya , alitaka ushindi at all cost hata kama ikibidi kubomoa misingi aliyoacha Nyererere

ATAKUMBUKWA DAIMA KWA KUIBUA NA KUCHOCHEA UDINI TANZANIA
 
Watanzania
Nilihudhulia vikao vya kampeni vya CUF,CHADEMA na CCM na kufuatilia katika Media mwenendo mzima wa Campaign, sikuona chama chochote kijipambanua kuwa na mlengo fulani wa kidini !!!!!

Je propaganda za udini zilitoka wapi? ni wazi ziliibuliwa na Muongo Jk ili kupanda mbegu ya Udini kwa vyama vya CUF na CHADEMA(Vyenye Nguvu) , na hatimaye kuwapumbaza Watanzania kwamba ni CCM tu ndo haina Undini !!!!.

Kwa maana nyingine the disguised message to the public was :
SLAA anafaa sana lakini Bwana , Mkiristo alikuwa padri !!!!!!!!!!!!!!
Lipumba anafaa sana lakini Bwana, CUF ina nguvu sana sehemu za
waislamu wengi


Nasema hoja za kikwete zimepanda mbegu mbaya , alitaka ushindi at all cost hata kama ikibidi kubomoa misingi aliyoacha Nyererere

ATAKUMBUKWA DAIMA KWA KUIBUA NA KUCHOCHEA UDINI TANZANIA
well said bro
 
Je propaganda za udini zilitoka wapi? ni wazi ziliibuliwa na Muongo Jk ili kupanda mbegu ya Udini kwa vyama vya CUF na CHADEMA(Vyenye Nguvu) , na hatimaye kuwapumbaza Watanzania kwamba ni CCM tu ndo haina Undini !!!!.

JK awe muungwana na atuombe msamaha kwa kutugawa kiudini kwa manufaa yake mwenyewe..............
 
Unauliza legacy ya Jakaya Kikwete, hakuna ubishi hapo ni rais aliyeshinda uchaguzi wa mwaka 2010 ambao ni wa kitapeli. Wizi wa kura bayana mwenye mcho haambiwi tazama.
 
Kitendo walichokifanya CCM cha kuanzisha mambo ya udini katika nchi hii na kuwatukana viongozi wa dini kama watoto wadogo hawatasalimika hata kidogo wasipotubu.

Dhambi hii ni sawa na kula nyama ya mtu itaendelea kuitafuna CCM mpaka kisambaratike kabisa.

Pasipo maono (vision) watu hujisahau mpaka kubomoa misingi ya taifa kwa kutaka uongozi. Yeyote aliyepandikiza mbegu ya udini kwa makusudi Mungu hatamwacha naamini kabisa.
 
1.Kuendelea kuyafumbia macho makaratasi yenye lebo ya Annuur na Alhuda wakati yalikuwa yakiandika upotoshaji wa hali ya juu....
2. Kuto kutoa BAN kwa kiidhaa chao wenyewe wanakiita Radio Quran sijui Radio Iman.....
3. Kumwacha Sheikh Ubwabwa wa Mwembechai aendelee kubwabwaja....
4.
5.
Wamesababisha lawama zitakazodumu kwa muda mrefu sana

!
 
1.Kuendelea kuyafumbia macho makaratasi yenye lebo ya Annuur na Alhuda wakati yalikuwa yakiandika upotoshaji wa hali ya juu....
2. Kuto kutoa BAN kwa kiidhaa chao wenyewe wanakiita Radio Quran sijui Radio Iman.....
3. Kumwacha Sheikh Ubwabwa wa Mwembechai aendelee kubwabwaja....
4.
5.
Wamesababisha lawama zitakazodumu kwa muda mrefu sana

!


Unaonaje ukajiangalia upande wako pia kumefanyika nini na nini lifanyike?

CCM walianzisha, CUF na sasa CHADEMA wakakumbatia............
 
Mara baada ya kuapishwa, katika hotuba yake JK aliwaomba wananchi hasa wana habari na wanasiasa wa vyama vya upinzani kushirikiana katika kutibu makovu/majereha yaliyotokana na udini na ukabila wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu. Haingii akilini kuona JK anaomba msaada wa namna hii, kwani yeye na chama chake wamekuwa wakitumia mbinu chafu ili kujipatia ushindi kwenye chaguzi za vyama vyingi na baada ya kutangazwa washindi wanarudi kuomba msaada wa kutibu majeraha yaliyosababishwa na kampeni zao chafu.

Mwaka 1995 CCM hawahawa walidai NCCR-Mageuzi ni Chama cha Wachaga na CUF inafanya kampeni msikitini, na baada ya hapo wakaja na uvumi wa kukamata Contena la silaha zikidaiwa kuwa ziliagizwa na Chama cha CUF ili kuleta fujo kwenye uchaguzi, cha ajabu wapewapo ushindi na tume yao haya yote huisha. Sasa basi JK na wana CCM waelewe kuwa wao ndio watakuwa chanzo cha upotevu wa amani hapa Tanzania

JK amekuwa akiimba udini na ukabila kwenye kampeni baada ya hoja yao ya ndoa kugonga mwamba. Ushauri wa bure kwa CCM wakae chini watafakari mbinu na mikakati safi ya kampeni badala ya kufanya kampeni za maji taka, na baada ya uchaguzi kutaka wadau na wananchi kushiriki kutibu majeraha yaliyotokana na wao wenyewe.

CCM wamejua upande mmoja wa watanzania, hivyo wasilazimishwe kuwageuza na upande wa pili ili wajue watanzania wako vipi, patachimbika mwanzo mwisho.

Heshima kwenu wana JF.
 
That's right,

Si wanajua watanzania ni wepesi wa kusahau?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom