Balozi mullar
Member
- Nov 1, 2010
- 18
- 0
mwambie alete mada zenye akili.MUNGI - huna jipya leta maada za maana sio UTUMBO wako huo unatujazia inzi hapa janvin
MUNGI - huna jipya leta maada za maana sio UTUMBO wako huo unatujazia inzi hapa janvin
Wewe una akili sawa sawa? haya mambo tuliisha yakataa ya ku post humu mambo ya udini, usichafue hali ya hewa hapa JF. Nenda kanisani au misikitini ukayasemee haya , sio humu JF.
ivi wakiambiwa watanzania watoke mbele na wewe mungi utatoka mbele, wee si mkenya safi tu, umeshawapiganisha kenya then unataka kuhamia tz uwapiganishe, hatupigani katu. Wewe ni miongoni mwa waliochangia kwa kiasi kikubwa slaa na chadema kupoteza kura nyingi za urais kutokana na threads za namna hii. So now unafanya maandalizi kwa ajili ya 2015 siyo? Achana na threads za kipumbavu kama hizi wewe hii serikali ya tanganyika huijui, unamjua igp tu so please usitupeleke huko. Kwani lazma upost thread yoyote hata kama hai-add value yoyote kwa jamii?
na Ukabila CCM ndo inaongoza:
Hesabu wakuu wa mikoa wachagga, ma-rpc-wachagga......................................................-> -> ->:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
tikushatoka huko tuendelee na wengineo.... kuna walokole wangapi? siasa kali wangapi? siasa pole... itikadi kali... masalia.... chipolopolo..... kisha tujiulize idadi ya wagombea urais wachagga kwanini huwa inakuwa kubwa!!! tujiulize tena kwanini mabinti wa kichagga ndio wanaoolewa sana na viongozi kuliko kabila zingine.... zamani ilikuwa wapare:smile-big: ukishapata hayo majibu UKABILA, UDINI, ACADEMIA na CHIPOLOPOLO vitaisha:smile-big:
kweli nimeamini wewe chamajani, ndiyo maana mpaka jina unaficha ****** yako. Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania tena mpenda haki. Nilichokisema ni kwamba jk anadai kuna vyama vinahubiri udini wakati yeye mwenyewe anahubiri udini.
Komaa akili wewe chamajani.
well said broWatanzania
Nilihudhulia vikao vya kampeni vya CUF,CHADEMA na CCM na kufuatilia katika Media mwenendo mzima wa Campaign, sikuona chama chochote kijipambanua kuwa na mlengo fulani wa kidini !!!!!
Je propaganda za udini zilitoka wapi? ni wazi ziliibuliwa na Muongo Jk ili kupanda mbegu ya Udini kwa vyama vya CUF na CHADEMA(Vyenye Nguvu) , na hatimaye kuwapumbaza Watanzania kwamba ni CCM tu ndo haina Undini !!!!.
Kwa maana nyingine the disguised message to the public was :
SLAA anafaa sana lakini Bwana , Mkiristo alikuwa padri !!!!!!!!!!!!!!
Lipumba anafaa sana lakini Bwana, CUF ina nguvu sana sehemu za waislamu wengi
Nasema hoja za kikwete zimepanda mbegu mbaya , alitaka ushindi at all cost hata kama ikibidi kubomoa misingi aliyoacha Nyererere
ATAKUMBUKWA DAIMA KWA KUIBUA NA KUCHOCHEA UDINI TANZANIA
Je propaganda za udini zilitoka wapi? ni wazi ziliibuliwa na Muongo Jk ili kupanda mbegu ya Udini kwa vyama vya CUF na CHADEMA(Vyenye Nguvu) , na hatimaye kuwapumbaza Watanzania kwamba ni CCM tu ndo haina Undini !!!!.
1.Kuendelea kuyafumbia macho makaratasi yenye lebo ya Annuur na Alhuda wakati yalikuwa yakiandika upotoshaji wa hali ya juu....
2. Kuto kutoa BAN kwa kiidhaa chao wenyewe wanakiita Radio Quran sijui Radio Iman.....
3. Kumwacha Sheikh Ubwabwa wa Mwembechai aendelee kubwabwaja....
4.
5.
Wamesababisha lawama zitakazodumu kwa muda mrefu sana
!