Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanakijiji
Huu udini unaelekea kuwarudi waliokuwa wanauendekeza. Wiki iliyopita jopo la viongozi wa dini zote kubwa nchini, walianza matembezi ya kuongea na wagombea urais. Tumeshangaa jana kuona kundi la mashehe wanakuja tena mbele ya vyombo vya habari kutoa tamko lao peke yao. Tunajiuliza ikiwa katika matembezi ya kuwaona wagombea wanakuwa wote, inakuwaje sasa wanakuja na tamko la peke yao?
Mbaya zaidi, katika umoja wao wa madhehebu yote, walisema mambo binafsi ya wogombea yasipate nafasi katika mijadala. Jana Mufti Simba akasema, yawe na nafasi. Je alimaanisha tuanze kazi ya kupima DNA za watoto wa mitaani?
Naomba niseme kwa sauti, kuwa tamko la mashehe lina agenda ya siri na ndiyo maana walishindwa hata kutamka hata jina la mtu mmoja wanayemtuhumu kuwa anaelekeza watu kupiga kura kwa misingi ya udini.
Nasema kwa dhati hapa kama nilivyosema kwengine humu.Hadithi nyingi juu dkt Slaa.Makosa ya wagombea wa nchi nyengine musifananishe na kwetu.Huyu mbakaji kwa uwezo wa Allah asipate.Hana hekima katika uongozi wake.Akipata uraisi itakuwa ndio mwisho wa Tanzania.Hana uadilifu.Kwanza Allah atasimama kuwatetea waungwana.Waislamu nao watachemka na utakuwa ndio mwisho.
What if wameona kuwa wenzao walitumika kuhalalisha masuala ama mtu fulani??? Unajua msimamo wa Askofu Ruzoka aliyeongoza ile timu ya vongozi wa dini kwenda CHADEMA????
Please jamani wote mnajua kuwa misikitini si makanisaani watu wanachochewa kupigia kura wale wanaodai wenzao. Wapo wanaosema kwa kutmia vipaza sauti na wapo wanaosema kwa kunong'oneza. Wapo wanaosema wazi wapo wanaotumia code words.....hapa sijaongelea wale wanaopanda majukwaani kujinadi kuwa wachaguliwe wao kwa kuwa ni wenzao na wapiga kura na wanasali pamoja....
sikuzote maamuzi ya waislam yanaonekana udini, wakiona kofia nyingi mikutano ya cuf .. Wanasema chama cha kidini!! Anyways udini upo! Na utakuwepo.. Ni sawasawa na kusema hakuna ubaguzi wa rangi nchi za magharibi.. While in reality racism ipo,majority ya waislam wenye kuelewa mustkbal wa dini yao katika tz ya leo! Kamwe hawatopiga kura kwa slaa!!.. Ya kwangu keshaikosa!
Omar ana makengeza kweli .... katika yote wewe umeona ya Askofu Ruzoka tu ..... bwa ha ha ha
Mliyaanzisha wenyewe ccm na sie tukawaonya hamkusikia. Mwaka huu mmelikoroga na mtazidi kupoteza kura za wasiopenda jihad Tanzania nzima
Sio Makengeza isipokuwa nimefundishwa ku-doubt everything.......What if I took efforts to know beyond what we were told and see??? Hivi huwezi kusema bila ya kuingiza mitizamo ya udini???
Omar,
Mkuu wangu Tanzania kuna Udini na unaletwa na hawa hawa watu wanaosema sema kupinga Udini hali kauli zao wenyewe zimejaa Udini. Huwezi kukosoa kosa kwa kufanya kosa hata kidogo. Udini upo na kama kweli kuna mtu anataka kuupiga vita basi asishirikiane na upande mmoja hali makosa hayo yapo pande zote. Sawa na ule msemo wa nchi zisizo fungamana na Upande wowote during cold war.
Hii ni hatari kubwa sana kwa Dr.Slaa wala tusifikirie tunampamba hapa kwani CCM mwaka huu imesimamisha wabunge zaidi ya robotatu - Wakristu, hivyo kila watu hawa wanapozidisha Udini ati watu wachague Wabunge kwa dini zao basi ni CCM pekee itakayo ibuka mshindi kwani Watanzania watashindwa kutazama tena Mapungufu ya JK na CCM ili kutazama mgombea ana dini gani..Hao wabunge wenyewe wa CCM tayari wanaanza kumkimbia JK na kujitangaza wao kama wao, leo wanakuja watu hapa na kuupika Udini pasipo kuelewa kwamba vitu hivi vimepangwa.
Weee acha tu nimesema wazi kwamba safari hii Chadema imeingiliwa tena imeingiliwa vibaya sana.
Mkuu wangu wala sichezi nice hata siku moja inapofikia maswala ya dini ya mtu yeyote. Na mimi sii mgeni hapa JF nakumbuka mwaka 2002 nilikuwa mbele sana kutetea Uislaam na CUF nikisema wazi kwamba CUF ni chama kinachosimamia maslahi ya Wazanzibar zaidi ya bara hivyo maadam Waislaam ndio wanajenga asilimia 99 ya visiwani kuna kila sababu watu wafikirie kwamba hicho ni chama cha Waislaam, na kuihusisha CUF na Uislaam ni upotoshaji. Nilipingwa vita sana humu JF na wengine hata kunambia ubishi wa dini siuwezi hivyo nirudi ktk siasa hali wao wakitumia dini ndani ya siasa.Mkandara, wewe unapenda kucheza nice..... Lipumba alicheza nice na ccm na matokeo yake unayajua. CCM walifanya kila wanachoweza kupamba CUF ionekane chama cha kidini. Kwa vile Lipumba alichukua mkondo wa ubora, akapoteza game ya propaganda dhidi ya ccm.
CCM walianza hapa taratibu wakiwatumia watu wasomi kama Game Theory na wenzake kukipaka chadema kuwa ni chama cha kidini na kikabila. Wakati wote huo CHADEMA walikaa kimya tu wakidhani kuwa ccm wataacha, matokeo yake wote tunayajua.
CCM hawajaacha na kila siku wanazidi kuandika kwenye magazeti yao kuwa chadema ni chama cha wachaga na wakatoliki (kasome ile article ya Antari Sangari). CCM ukiwaacha tu kwenye hii game, wewe ndiye unapoteza.
Afadhali kupambana nao tu, hata kama ni kupoteza, tutapoteza tukijua kuwa tulipambana vilivyo lakini wao kwa kutumia dola na vyombo vyote vya habari wakatuzidi.
Kanda2,
Bibi Ntilie si Mwanakijiji. Hii naweza kukuapia kabisa. Hata angalia staili ya maandishi yao ni tofauti kabisa kama unajua na kuweza kusoma umetulia.
Mkandara said:Mwafrika,
Mkuu wangu JF ipo siku nyingi sana walichobadilisha ni jina la kwanza tu mwanzo ikiitwa Jamboforums....
naona kama wewe ndio umeingiza udini hapo? Nimeshangazwa na one sided view uliyonayo kwenye masuala ya udini.... esp hapa JF.All of a sudden umekuwa concerned na watu kuweka picha za vibandiko wakati ulikuwa kimya muda wote watu wakipondea ukristo na upadri wa Dr Slaa hapa jamvini.
mla huliwa,tuliwaonyo sana hapa javini wakina malaria sugu,tumaini na wafuasi wao juu ya hoja zao za udini hawakutaka kutusikia sisi wenye akili,real what goes around comes around,sasa vimewashika,hakika mwaka huu mtajibeba
Afadhali kupambana nao tu, hata kama ni kupoteza, tutapoteza tukijua kuwa tulipambana vilivyo lakini wao kwa kutumia dola na vyombo vyote vya habari wakatuzidi.
Moja, kwani Dr Slaa sio Padri? Ni wapi mimi nimewahi kuhusisha upadre wake na mapungufu yake kama mbunge ama mtarajiwa. Actually, If there was one thing I used to have a bit of trust na CHADEMA sio Mbowe bali ni Dr Slaa kwa kuamini kuwa background yake inamsaidia kuwa Mwadilifu. lakini wewe u always try to connect mapungufu ya Kikwete na uslamu wake.
Pili, kuna vitu vitatu vimeni dissapoint kutoka kwa Dr Slaa.
Moja, ni kushindwa kwake kumdhibiti Mbowe napofanya mauza uza yake...na wakati huohuo akipambana na wengine wafuate UWAJIBIKAJI.
Pili, Ni suala la kutaka kuhalalisha ama kurasimisha mahusiano yake kimwili na mke wa mtu na hii imeniumiza zaidi sio tu kwa sababu inajenga picha mbaya miongoi mwa jamii tunayolalamikia kuwa kuna muanguko wa maadili lakini zaidi ni kuwa linafanywa na mtu ambaye amekulia katika makuzi ya Upadre ambayo mimi hata kama sio mkristo llakini ninauthamini na ninauheshimu....actually sometimes I tend to have more trust to Mapadre kuliko mashehe wetu...
Tatu, ni hili la kujigamba kuwa NUSU YA USALAMA WA TAIFA WANARIPOTI KWAKE......