Kwenye uchaguzi huu hata CHADEMA wamepata wabunge wengi kumbe nao wamechaguliwa na NEC?
si walituma msg kuwa slaa ni mdini hatakiwi sasa wajisafishe wenyewe pumbaa&&&&fu senu!hawa si ndio walidhamini tangazo la udini kupitia ikulu kama ilivyolipotiwa na raia mwema?
Alafu huu udini wanaohubiri mbona hawatoi evidences watu wanaishia kusema udini udini bila kusubstantiate where
Ujumbe nilioupata ni kuwa JK jana alikiri kuwa Dr. Slaa alimshinda kwenye uchaguzi kwa sababu wakristu ni wengi na walimpigia mkristu mwenzao...ila na yeye ilibidi atumie nguvu za ziada za dola kuhakikisha anayachakachua matokeo ya kupigakura kwa misingi ya udini..................Haya maono yangu yanasababishwa na yafuatayo......................kama JK alipata kweli asilimia 61 mwaka huu je hao waliompigia kura siyo wakristu? Hao waliompigia kura asilimia 81 mwaka 2005 hao wakristu hawakuwemo? Ukweli ni kuwa mwaka 2010 hakuzipata hata hizo asilimia 61 na ndiyo maana analaumu udini badala ya kulaumu uwezo wake wa kiuongozi ni duni mno......yaani hata unatia kichefuchefu, vile.......Je mambo ya Kujiuliza !
1: Haya mawazo ya nyufa za udini yametoka wapi ? na watu gani wameundalia rais hotuba ile ?
2:Lengo ni kupotezea maswala mazima ya uchakachuaji wa kura na wizi uliofanyika ?
3:Kutisha watanzania ili waogope kudai haki zao zilizoibwa ?
ASANTE SANA mwanakijiji ila inasemekana siku zako zinahesabika , jiangalia brother
Baada ya Kikwete kukemea udini imebidi nianze kufuatilia alikuwa anamaanisha nini:::-
Rais wa Jamhuri ya Muungano :: Jakaya Mrisho Kikwete
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano :: Ghalib Bilal
Rais wa Zanzibar :: Ali Mohammed Shein
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar :: Maali Seif Sharif Hamad
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar :: Seif Iddi
Rais Kivuli :: Rostam Aziz
Rais Kivuli wa Pili :: Ridhwan
Chief of Staff of TPDF :: Abd Shimbo
IGP :: Said Mwema
Director of TISS :: Othman Rashid
Mwenyekiti wa CCM :: Yussuf Makamba
Makamu Mwenyekiti wa CCM :: Amani Karume
Mkuu Mwanakijiji
Maswali hayo majibu yake hatuwezi kuyapata wakati rais alilshatangazwa.CHADEMA wana matokeo yao ya kila sehemu wayalete basi na kuonesha ni nani alishinda..
mie huw sipendi story na speculation bila kuwapo na facts...tutaanzia hapo ila hili suala la kulia lia tu
tatizo la chadema wana wivu wa kike!
nkojo apo ndepolikhe! Funga magazeti yoote yaliyoeneza udini!ni magazeti gani yalikuwa ya kwanza kuandika habari za kwamba slaa katumwa na kanisa? Nakumbuka magazeti ya uhuru, rai, alnuur, alhuda na mtanzania ndiyo yaliyolikalia bango jambo hilo. Haya magazeti ni ya nani? Na je ni magazeti gani yaliyoandika waziwazi kwamba waislamu wawachague waislam wenzao. Kwa kumbukumbu zangu ni al huda na al nuur. Je ni hatua gani zilizochukuliwa hadi hivi leo dhidi ya magazeti haya? Sikuwa kusikia popote pale, chadema wakiongelea suala la udini. Sasa iweje leo anayakemea aliyoyaanzisha yeye mwenyewe.
Tunataka kikwete achukue hatua kubwa zaidi ya kukemea kwenye hotuba, tunataka awakamate wahariri wa magazeti ya al nuur na al huda, pia mtanzania na uhuru. Kwa kuchochea udini nchini. Hii itasaidia sana kupunguza idadi ya wahariri wahuni kama hawa wa ccm ambao wanataka kuwagawa watanzania kwa misingi ya udini.
1. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kuzomewa na wananchi katika ziara ndani ya nchi.
2. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kukumbwa na malumbano na wafanyakazi mara kwa mara
3. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kuanguka jukwaani
3. Kikwete ni rais wa kwanza Tanzania kususiwa na wabunge bungeni
God knows what else this guy has in store for us