Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili ni swali ambalo wengi bila shaka wanajiuliza, na wangependa kufahamishwa.
Kwa mfano ni vigezo gani vilifuatwa kuteua kocha wa Timu ya soka ya Tanganyika iliyopachikwa jina la uongo la Tanzania Bara, inayoshiriki Mapinduzi Cup?
Nadhani ndio kocha mbovu kuwahi kuhudumu tangu kuumbwa kwa Tanganyika.
Kama ni mpwa wa Karia au ndugu yake hiyo haihusiani chochote na sisi wenye timu yetu, Hizi aibu tunazotiwa huko Nchini Zanzibar iko siku zitazua balaa
Kwa mfano ni vigezo gani vilifuatwa kuteua kocha wa Timu ya soka ya Tanganyika iliyopachikwa jina la uongo la Tanzania Bara, inayoshiriki Mapinduzi Cup?
Nadhani ndio kocha mbovu kuwahi kuhudumu tangu kuumbwa kwa Tanganyika.
Kama ni mpwa wa Karia au ndugu yake hiyo haihusiani chochote na sisi wenye timu yetu, Hizi aibu tunazotiwa huko Nchini Zanzibar iko siku zitazua balaa