Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
DaaahKagera Sugar inayofanya vibaya ndio imetoa wachezaji wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaahKagera Sugar inayofanya vibaya ndio imetoa wachezaji wengi.
Komesheni kwanza upigaji uanaosemwa na Lissu kuwa upo ndani ya Chadema kabla ya kukomesha wa TFF!Tutahakikisha hili jambo linakomeshwa
Nje mno ya madaKomesheni kwanza upigaji uanaosemwa na Lissu kuwa upo ndani ya Chadema kabla ya kukomesha wa TFF!
Ahahahahaha! Kwamba Chadema wakipiga hela za ruzuku ambazo hata mimi nachangia, sawa ila TFF ambayo pesa za hazitokani na ruzuku zikipigwa unaapa kukomesha hilo! Ahahahahaha!!Nje mno ya mada
ni dhahiri huna akiliAhahahahaha! Kwamba Chadema wakipiga hela za ruzuku ambazo hata mimi nachangia, sawa ila TFF ambayo pesa za hazitokani na ruzuku zikipigwa unaapa kukomesha hilo! Ahahahahaha!!
wala hata hajulikani, Sijui ni MwakinyoJina la Kocha wa Tanganyika ni nani kwani? Amijiharibia sana sehemu kama hizo ndio za kuonyesha uwezo ulionao.
Ahahahahaha! Wewe unazo hadi zinamwagika! Ahahahahaha!!ni dhahiri huna akili
Angalia majina yao utapata jibu haraka kama wewe ni GTHili ni swali ambalo wengi bila shaka wanajiuliza, na wangependa kufahamishwa.
Kwa mfano ni vigezo gani vilifuatwa kuteua kocha wa Timu ya soka ya Tanganyika iliyopachikwa jina la uongo la Tanzania Bara, inayoshiriki Mapinduzi Cup?
Nadhani ndio kocha mbovu kuwahi kuhudumu tangu kuumbwa kwa Tanganyika.
Kama ni mpwa wa Karia au ndugu yake hiyo haihusiani chochote na sisi wenye timu yetu, Hizi aibu tunazotiwa huko Nchini Zanzibar iko siku zitazua balaa