Ni Nani anayumbisha Serikali, Nani alitoa go ya kumtukana mama, Nani anayetaka Bashe aanguke, Nani anataka biashara K koo isimame?Nani?

Ni Nani anayumbisha Serikali, Nani alitoa go ya kumtukana mama, Nani anayetaka Bashe aanguke, Nani anataka biashara K koo isimame?Nani?

Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Waliokatiwa mirija bandarini na kwenye sukari.

Huwajuwi waliokuwa mstari wa mbele kupinga bandari wasipewe DP World kuiendesha? Umevisahau vibandiko kama vya mayahudi na kanzu zenye rangi mojawapo ya upinde?
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
February Marope au kipara na genge lake ndio liko nyuma ya Kila siasa chafu inayoendelea....anataka peke yake ndio abaki msafi (bila sekeseke) ili eti awe na sifa za kumrithi Bi. Kizimkazi
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Bi ushungi ni dhaifu mno,she's misfit to the position.
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Uongozi mbaya
 
Wafanyabiashara kariakoo wamechelewa sana kufunga biashara zao.walitakiwa wakatae toka kipindi kile walipoahidiwa ahadi hewa na chief mpambalioto wa magogoni kuhusu kero walizoziwasilisha kipindi hicho mpambalioto aliwadanganya Kwa kuunda kamati uchwara ya kutatua kero matokeo yake hakuna kero hata Moja iliyotatuliwa.kodi lukuki kwenye mizigo.kodi mtukate kubwa lakini faida ya Kodi hatuzioni zaidi ya chief hangaya kuzitumia Kwa safari za ulaya kwenye dream liner letu peke yake na wasaidizi wake ambao Hawazidi hata 10.kariakoo aluta continua....
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Kunani ndugu Jemedari🫠
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Kwa nini maswali yako yote yanakuwa ya "nani" ?
 
Karibu chianteng limited ni wauzaji wa Truck za HOWO Kwa Bei Nzuri

Pia tunazo SPARE PARTS ZOTE ZA HOWO,

Pia tuna mafundi waliobobea katika utengenezaji wa truck za HOWO.

Karibu sana

📍Tupo Kurasini opposite na Chuo Cha Diplomasia

☎️0748 270 719
Howo-371-dump-truck-for-sale-1-100885.jpg
IMG-20240613-WA0003.jpg
IMG-20240613-WA0005.jpg
 
Wafanyabiashara kariakoo wamechelewa sana kufunga biashara zao.walitakiwa wakatae toka kipindi kile walipoahidiwa ahadi hewa na chief mpambalioto wa magogoni kuhusu kero walizoziwasilisha kipindi hicho mpambalioto aliwadanganya Kwa kuunda kamati uchwara ya kutatua kero matokeo yake hakuna kero hata Moja iliyotatuliwa.kodi lukuki kwenye mizigo.kodi mtukate kubwa lakini faida ya Kodi hatuzioni zaidi ya chief hangaya kuzitumia Kwa safari za ulaya kwenye dream liner letu peke yake na wasaidizi wake ambao Hawazidi hata 10.kariakoo aluta continua....
Viongozi wao ni CCM tupu na majangili ya mali za umma
 
Wafanyabiashara kariakoo wamechelewa sana kufunga biashara zao.walitakiwa wakatae toka kipindi kile walipoahidiwa ahadi hewa na chief mpambalioto wa magogoni kuhusu kero walizoziwasilisha kipindi hicho mpambalioto aliwadanganya Kwa kuunda kamati uchwara ya kutatua kero matokeo yake hakuna kero hata Moja iliyotatuliwa.kodi lukuki kwenye mizigo.kodi mtukate kubwa lakini faida ya Kodi hatuzioni zaidi ya chief hangaya kuzitumia Kwa safari za ulaya kwenye dream liner letu peke yake na wasaidizi wake ambao Hawazidi hata 10.kariakoo aluta continua....
There is no victory, why continua?
 
Back
Top Bottom