Ni Nani anayumbisha Serikali, Nani alitoa go ya kumtukana mama, Nani anayetaka Bashe aanguke, Nani anataka biashara K koo isimame?Nani?

Ni Nani anayumbisha Serikali, Nani alitoa go ya kumtukana mama, Nani anayetaka Bashe aanguke, Nani anataka biashara K koo isimame?Nani?

Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!


Hakuna demokrasia yeyote Duniani Raisi hatukanwi kama ipo nchi ya demokrasia Rais hatukanwi nionyeshe. Nenda hapo Kenya au kasome wanayosema kuhusu Rutto🤔
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Busara ya kuteua Marehemu au!?
 
Tunahitaji tufundishe wananchi wetu wajadili na kuamua kwa hoja zenye mantiki. Ushawishi wa kubagua jinsia, kabila, kanda au eneo atokalo mtu na propaganda, hauna faida wala maana kwa ujenzi wa taifa.
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
CHAWA wasio na akili mmekuwa wawili!!

Vita dhidi ya Ushoga inaendelea kuwa ngumu
 
Waliokatiwa mirija bandarini na kwenye sukari.

Huwajuwi waliokuwa mstari wa mbele kupinga bandari wasipewe DP World kuiendesha? Umevisahau vibandiko kama vya mayahudi na kanzu zenye rangi mojawapo ya upinde?
Allah kawatelekeza watambikaji kule Meccah!! Zaidi ya elfu Moja wanakula adhabu kule ahera
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Ni mafisadi ,mama ayafyeke apunguze huruma za kisengerema.Bila kudedisha Baadhi ya wapuuzi heshima Huwa haiji
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
Kati ya hao majemedari wake wote ni Mwendawazimu tuu anayeweza kuamini Madelu ni msafi.
Tangu alipokuwa waziri kwenye wizara zote hakuwa msafi mpaka Magu akamtema akabaki na karata moja tuu ya kumtusi Lema Ili ajipendekeze kwenye Mamlaka za uteuzi .
 
Ila kuna upigaji sawa sawa tena kwa kikundi kidogo cha watu
 
Wakuu salaam!

Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila???
Ila??

Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na kwanini?
Ni Nani huyo anayetaka kunyonga koo la uchumi wa nchi na kwanini?

Wasukuma bwana! Hawajawahi kumheshimu mwanamke!
Wanaongea tu kinafiki ila kwenye mioyo yao wanatamaani mwanamke aanguke!

Yes yes! Naongelea Sukuma gang'
Maana Kuna mtu anaitwa Musukuma aliongelea kidogo sakata la wafanyabiashara Kariakoo halafu kidogo mambo yanakuwa mambo!

Watu wanataka kumchanganya mama, wanataka kuangusha nguzo zake zote!

Wameanza na Bashe, huku anapigwa Nape.. Mwigulu yuko kwenye kikaango.. Wanaopiga wote wako ndani ya Chama na ndani ya bunge...

Kwanini wanapiga muda huu? Je, haya mapigo ndio yao ya mwanzo na mwisho? Nop! Hawa watu wapo strategic na haya sio mapigo ya mwanzo tu! Wanajua jinsi ya kuangusha mamlaka na huu ni mwanzo tu! Mambo mazito yanakuja mbele.

Binafsi natamaani stability kwenye nchi! Sikupenda financing strategy ya hizi flagship projects na hata baadhi ya projects zenyewe sikuzipenda.
Ila Kuna jambo natambua! Wakati mama anaingia, hizi flagship projects zote zilikuwa katikati na tayari tulishatumia hela nyingi, za ndani za mikopo whatever.. Hazikupaswa kusimama!

Sasa mama angefanyaje? Uchumi ulikuwa mtaroni na madeni ya kuona!
Angefanyaje?

Mimi namshauri mama! Linda majemedari wako wa karibu, angalia maadui wako vizuri maana mnasalimiana kila siku.. Kisha tumia busara ongoza nchi!
By wananchi tunaotaka uwajibikaji.
 
Mkuu ukiwa kwenye systeam ya biashara ndo utajua kwanini tunagoma.jiji mikodi kibao,leseni,service levi,ushuru wa taka,tra nao kodi kibao....
 
Maza ameshindwa kuongoza nchi tuache visingizio
Kuongoza nchi ni rahisi mno kama unaowaongoza wote wako pamoja na wewe, hata wewe unao uwezo wa kuongoza nchi. Hata hivyo, ni ngumu sana kuongoza nchi kunapokuwa na kundi pinzani limejificha nyuma ya pazia huku likiwa na nguvu kubwa; ni shida tupu
 
Kuongoza nchi ni rahisi mno kama unaowaongoza wote wako pamoja na wewe, hata wewe unao uwezo wa kuongoza nchi. Hata hivyo, ni ngumu sana kuongoza nchi kunapokuwa na kundi pinzani limejificha nyuma ya pazia huku likiwa na nguvu kubwa; ni shida tupu
Shida amekubatia mafisadi
 
Kuongoza nchi ni rahisi mno kama unaowaongoza wote wako pamoja na wewe, hata wewe unao uwezo wa kuongoza nchi. Hata hivyo, ni ngumu sana kuongoza nchi kunapokuwa na kundi pinzani limejificha nyuma ya pazia huku likiwa na nguvu kubwa; ni shida tupu
Mama anapaswa kujipanga kukabili hii threat mpya! Anapaswa kuisimamia system ifanye kazi, watu wengi waliomzunguka ndio wanaotaka aanguke...
Anahitaji sana busara za Kikwete katika kipindi hiki...
Natabiri wimbi kali mbele
 
Back
Top Bottom