Ni nani atabadilisha maisha ya mtanzania?

Ni nani atabadilisha maisha ya mtanzania?

Dawa nikuwasusia kupiga kura tuone kama watatoka wenyewe kwa aibu
 
komaa
hakuna wa kubadirisha maisha yako,ni wewe mwenyewe,hata tukiletewa Rais Mhindi kama hupigi kazi kwa kujituma hakuna kitakachobadirika.
tunalalamika,oooooh wachanga wanapesa,ndio wanajituma
hakuna wa kubadirisha Maisha yako zaidi yako binafsi
 
kinachosikitisha wanafunzi hawa wanapimwa na mtihani mmoja sawa na watoto wa vigoo wanaosoma katika shule za english medium....hii ni kutuandalia kabur sis watoto wa maskin kila siku na daima kuongozwa na watoto wa vigogo...ee Mungu shusha galika ili usawa ulejee.
 
Watanzania watabadilisha maisha yao toka umaskini kwenda utajiri kama watakubali kuwa jukumu la kuondoa serikali fisadi na kuwa na mfumo wa uwajibikaji ni lao. Hakuna jipya zaidi ya watanzania kuacha kulalamikalalamika na kusimama na kupambana na genge la watu wachache waliowageuza watumwa.
 
komaa
hakuna wa kubadirisha maisha yako,ni wewe mwenyewe,hata tukiletewa Rais Mhindi kama hupigi kazi kwa kujituma hakuna kitakachobadirika.
tunalalamika,oooooh wachanga wanapesa,ndio wanajituma
hakuna wa kubadirisha Maisha yako zaidi yako binafsi

sasa nikome nini jamani? mim nimeuliza, ni nani atabadilisha maisha ya mtanzania? sasa kama mim nina kipato cha kutosha maisha ya watu hawa wanaokalia mawe yatabadilika vip? je wewe umewahi kubadisha maisha ya jamii yeyote hapa nchini? kama kila mtu ni chanzo cha mabadiliko sasa kwanini mambo kama haya bado yapo kwenye jamii? tafakari,..haki elimu!!lol
 
sasa nikome nini jamani? mim nimeuliza, ni nani atabadilisha maisha ya mtanzania? sasa kama mim nina kipato cha kutosha maisha ya watu hawa wanaokalia mawe yatabadilika vip? je wewe umewahi kubadisha maisha ya jamii yeyote hapa nchini? kama kila mtu ni chanzo cha mabadiliko sasa kwanini mambo kama haya bado yapo kwenye jamii? tafakari,..haki elimu!!lol

nimekuambia KOMAA na sio UKOME
soma post za watu na uzielewe
 
komaa
hakuna wa kubadirisha maisha yako,ni wewe mwenyewe,hata tukiletewa Rais Mhindi kama hupigi kazi kwa kujituma hakuna kitakachobadirika.
tunalalamika,oooooh wachanga wanapesa,ndio wanajituma
hakuna wa kubadirisha Maisha yako zaidi yako binafsi

Natamani kweli mawazo yako yawe uhalisia coz nafikiri inawezekana ukawa unapiga taswira ya watu angalau wenye upeo. Nina hakika kabisa kuwa wazazi wa hawa vijana hata wakiambiwa wakawaambie wazazi wao kuwa kuna mchango shuleni wa shs 1,000, wazazi watawaambia watoto hao wasiende shule coz hela hiyo hamna. Sasa hebu tusaidie, wazazi hao wanaanzia wapi?

Nimewahi kushuhudia mtoto wa umri huu akitoa chakula shuleni (coz WFP walikuwa wanasaidia chakula cha mchana mashuleni) kupeleka nyumbani, kwa jinsi ambavyo huko nyumbani hakuwezekaniki. Wazazi ni wakulima wadogo ambayo nao hali ya hewa (mvua for that matter) haikuwa upande wao kwa mwaka huo.
 
hahahahaha mpaka kwenye hiliii?? kazi ipo
Sisi tukifanya tunafanya chini ya kiwango...UDOM imejengwa hata miaka kumi haijaisha tayari majengo yana nyufa kibao...na limetengwa fungu tayari kwa ajili ya ukarabati...barabara ya morroco magomeni imejengwa hata mwaka mmoja haujaisha lami ikaanza kuyeyuka kama asali na kubanduka...unategemea tunaweza???
 
nimekuambia KOMAA na sio UKOME
soma post za watu na uzielewe

oooh sorry my dear brother, nilisahau kuvaa miwani sasa shida ndo ikatokea sasa nimevaa ndo naona komaa ooh sorry jamani nimekusoma
 
Mkapa, Mkapa, Mkapa-Hakuna tena zadi ya huyu mzee

yaan hata mim namkubali vibaya mno,hata kama angegombea tena ningempa haki ya nani, mi nawaambia watu jamani tuache kuangalia chama, tuangalie watu jamani
 
wanajaza shule wakati zilizokuepo hazija kamilika!
watoto wanafauru bajeti inapungua! tunaempenda hatumchagui! Na tunaemchagua ha2mwamini tutabadilika kweli? never!!!!..
 
wanajaza shule wakati zilizokuepo hazija kamilika!
watoto wanafauru bajeti inapungua! tunaempenda hatumchagui! Na tunaemchagua ha2mwamini tutabadilika kweli? never!!!!..

wao si wanajua elimu bora ni kuwa na idad kubwa ya majengo? bora hata majengo yenyewe yangekua ya maana basi
 
Tunawasubiri wawekezaji waje watujengee...usiwe na wasiwasi.....

hiyo ndiyo tabia ya watanzania walio wengi wanapenda sana kutafuniwa huwezi amini shule inafungwa eti kwa kukosa choo mpaka mfadhili atoke ulaya kutusaidia uchimbaji wa choo AIBU. ukiangalia gharama ya choo haifikii mchango wa harusi Watanzania tumekuwa vilema wa akili, nguvu tunazo lkn hatutaki kufanya kazi
 
Back
Top Bottom