Uchaguzi 2020 Ni nani atakae kaa kwenye kiti hiki?

Jeef George

Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
47
Reaction score
60
Tufikiri kidogo

Magufuli ni nani?

. Ni kiongozi ambaye mwenye kuumizwa na rushwa
. Ni kiongozi ambaye anaumizwa na kuwakandamiza wanyonge
. Ni kiongozi ambaye haogopi kusema ukweli wa mambo kama kwa kuguswa moyoni
. Ni kiongozi ambaye anahurumia watu wenye kuteseka gereezani hata mafisadi pia
. Ni kiongozi ambaye ni mwenye kutekeleza ahadi za wanainchi
. Ni kiongozi ambaye hatikiswi na maneno ya watu
. Ni kiongozi ambaye haogopi mabeberu
kiongozi ambaye ni mwenye kuumizwa na wasiopenda maendeleo ya taifa



Hebu tufikiri kidogo

Ni nani ambaye angeweza kuleta maendeleo na miradi mikubwa iliyopo inchini kama sio Magufuli

Wakati wa maendeleo ni sasa wala si wakufikirika tena

Nina shangazwa na watu wanaokosoa maendeleo yanayoendelea inchini ndani ya miaka minne takribani trillion 58 na point something zimekusanywa haijawahi kutokea kwa Tanzania tangu mwanzo wa taifa hili...

Nashangaa wewe au yule au mimi tunakosa hekima na kuanza kukosoa vikali

Kama rushwa ilikua imetawala inchi ilikua imeoza watu walikua wanalia hasa masikini wa chini kabisa... Hali ilikua mbaya

Kuwa mzalendo wa kulipa kodi stahiki ili kusudi maendeleo yafike katika vina vya juu zaid


Watu warefu mtusaidie mnaona nini huko 2020 hali itakuaje?
 
Nilivyosoma maandishi yako inatosha kuipotezea hii mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipotezea utakua mpinga maendeleo yaliyopo sasa kama kweli umaguswa Bila unafiki

Tathimin fikilia ni mangapi tunayaona kwa utendaji wa magufuli kwa awamu hii

Nikielezea mengi yanayoendelea tutakesha nakusimulia tu. Kuwa mzalendo uheshimike
 
Mlitaka apewe nani kura?? Unazani huyo unaemfikiri angeyatimiza haya yote

Kwani mh. Ngoyai lowasa angeweza kupambana na majitu kama mafisadi

Siwezi kusema uongo kwa haya sidhani kama angeliweza kuyatenda
 
hilo swali hata mtoto wa miaka miwili analijua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…