Lakini mbona wasanii wengi kama mmoja anatoa nyimbo mbaya ya nini kumuanzishia mathread kibao kana kwamba anaimba yeye peke ake si ni kumpotezea tu na kazi zake mbovu
mwaka wa 4 huu naskia tuu kiba kachuja mara hawezi na blablaa mingi
ila akitoa wimbo tz inasimama
show kama kawa
kama dem tuu we unamuona mbaya wenzio wanawaza watampata lini....
asa wote mkiwa mashabiki wa kiba wakna mh temba au amba lulu nani awashabikie?
kiba yuko right yani ukinipenda twende wote usiponpenda pita hivi.. hakuna kutumia nguvu kuwaaminisha watu ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.