Ni nani atanipa kampani la nguvu wikiendi hii

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,663
Hello jf Arusha wingz, nani anataka kampani wikiendi hii???
karibuni niko Arusha kwa miezi kadhaa, hivyo kama utapenda/unapendelea kuonana macho kwa uso na mwanajf,njoo unakaribishwa
NB:Uwe uko Arusha
 
wana-JF wanaonana kwa keyboard tu sijui kama watakuelewa!
 
Hello jf Arusha wingz, nani anataka kampani wikiendi hii???
karibuni niko Arusha kwa miezi kadhaa, hivyo kama utapenda/unapendelea kuonana macho kwa uso na mwanajf,njoo unakaribishwa
NB:Uwe uko Arusha

VODACOM
Kazi ni kwako
 
Huyu anaishi huko huko Florida mtafute kwa raha zako.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…