warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 Mar 16, 2017 Thread starter #21 geniveros said: [emoji101] [emoji101] ninong'oneze Click to expand... Binamu nae mbea, mimi nilisikia ni yule moko, maana mtoto nasikia anakula bata hatari, kana pesa ila hakaringi ka odama
geniveros said: [emoji101] [emoji101] ninong'oneze Click to expand... Binamu nae mbea, mimi nilisikia ni yule moko, maana mtoto nasikia anakula bata hatari, kana pesa ila hakaringi ka odama
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,560 Reaction score 15,864 Mar 16, 2017 #22 Prince wa magogoni ambae humla mbunge mzuri wa dar kwenye gereza la segerea
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,218 Reaction score 18,440 Mar 16, 2017 Thread starter #23 chotera said: Prince wa magogoni ambae humla mbunge mzuri wa dar kwenye gereza la segerea Click to expand... Binamu, ebu nipe umbea vzuri
chotera said: Prince wa magogoni ambae humla mbunge mzuri wa dar kwenye gereza la segerea Click to expand... Binamu, ebu nipe umbea vzuri
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,560 Reaction score 15,864 Mar 16, 2017 #24 warumi said: Binamu, ebu nipe umbea vzuri Click to expand... Binamu mbona uko wazi huu kitambo na nyumba odama alijengewa kwa usimamizi wa vijana wa yule jamaa aloshindwa ubunge moshi mjini, yule tajiri wa malori na bureau de change kadhaa mjini ikiwamo ile ya ubungo plaza.
warumi said: Binamu, ebu nipe umbea vzuri Click to expand... Binamu mbona uko wazi huu kitambo na nyumba odama alijengewa kwa usimamizi wa vijana wa yule jamaa aloshindwa ubunge moshi mjini, yule tajiri wa malori na bureau de change kadhaa mjini ikiwamo ile ya ubungo plaza.
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Mar 16, 2017 #25 Kuna jamaa alikuwa anakuja jukwaa hili kulia lia kuachwa na huyu mwanamke na kwenda kwa mume wa mtu.. huyo jamaa sijui alipotelea wapi
Kuna jamaa alikuwa anakuja jukwaa hili kulia lia kuachwa na huyu mwanamke na kwenda kwa mume wa mtu.. huyo jamaa sijui alipotelea wapi