Ni nani hasa alihusika na Kifo cha Sokoine?

Ni nani hasa alihusika na Kifo cha Sokoine?

Nimesoma tu kama wewe ila najaribu kuunganisha Dots, Kila mtu alisikia Kuuwawa Kwa Kombe ni Amri ilitolewa na Mwenyekiti wa CCM nafikiri Mkapa alijinasua kwa Kusema Kuwa Mwenyekiti gani hasa kwani Kuna waliostaafu.

Sasa Kuna Riport Nyingine inayoknyesha Kuwa Kombe alishukiwa Kuwa alikuwa ni Rafiki Mkubwa wa Kambona na Wake zao walikuwa Ni Ndugu!
 
Kwa kiasi fulani picha iliyokuwepo ni namna sokoine alivyoonekena kuja kuchukua nchi na misimamo yake haikuwa ya kuwapendeza baadhi ya marafiki zake.......
 
Kwa nn Nyerere aishie kulia tu badala ya "kuwashughulikia" waliomuua Sokoine kama aliwajua na uwezo alikuwa nao?
It is not that simple! Kweye issue kama hizo Ushahidi unakuwa very blurry na Unaweza ukapoint different directions, Sasa Mtu huwezi kuimplicate watu na akuwaadhibu Bila Ushahidi Kukamilika. Mwaka 1983 Katika Jaribio la Uhaini, au Kumpindua Myerere Major General Silas Mayunga alishutumiwa au kwa kuandaa Uhaini au kwa kutoushitukia Uhaini, Lakini Mwalimu alimwondoa Nafasi yake na Kumpeleka Kwingine. Lingekuwa Ni hili Zuzu Sadist lingemfunga Mtu bila clarity na Lingezuia Dhamana!
 
Mwinyi Alikuwa Ni Mtu Mwenye Uwezo Mkubwa wa Administration, Lakini sio Kuongoza, Pia alikuwa ni Mtu Mwenye Roho njema sana na asiye na Makuu, Muugwana sana. Nyerere alipoachia Madaraka 1985 Alikuwa hana Uhakika Mambo yatakwendaje, Hivyo alimweka Mwinyi Kwa Kipindi cha Majaribio akijua wazi endapo yakizuka Matatizo Makubwa, as a result ya yeye, Nyerere, kuondoka, Basi Mwinyi asingeona Kinyongo kama ingemlazimu Nyerere Kumwambia aondoke, Kisha au Arudi yeye Mwenyewe Madarakani na Msimamo Mpya au Amweke Mwingine. Ikumbukwe huko Nyuma Nyerere alishafanya hivyo Kwa Kumwachia Kawawa Uwaziri Mkuu! Na Kisha akarudi tena. Hiyo sio Tathmini yangu bali ni Tathmini ya hao Warefu! Je Mnakumbuka Miaka ya 1994 Nyerere alisema wazi Kuwa Mwinyi hakuwa Chaguo Langu!
u

Nyerere alijuta kumwachia mwing nchi baada ya kuvurunda na kuanzisha makundi ya udini ikiwemo pamoja na kuasisi mitandao ya madawa ya kulevya iliyoshamiri kipindi chake kama uyoga. Unachokisema upole kinaweza kuwa uzembe!.

Wakati wa nyerer Watanzania waliheshimika dunia nzima. Mara nyingine hata airports za kimataifa tulipita bila kukaguliwa kwa sana lakini baada ya vimbwanga vya mwiny kila mahala ukisema ni Mtz, unaangaliwa kw macho mawili mawili yenye mashaka.

Nyerere aliyashuhudia mikutano ya kidini isiyo na uhusiano na serikla iikifanyika ikul. Nani asiyejua jins huyu mzee alivyoifanya tz? Nyerere aliumia akasema anajuata kumpa huyu nchi.

Siyo kwamba laitaka kurudi mwenyew. N amktu akijuta haina maana anataka afanyeyeye.

Wenye dini ya matusi na mapanga, kazi kwenu.
 
u

Nyerere alijuta kumwachia mwing nchi baada ya kuvurunda na kuanzisha makundi ya udini ikiwemo pamoja na kuasisi mitandao ya madawa ya kulevya iliyoshamiri kipindi chake kama uyoga. Unachokisema upole kinaweza kuwa uzembe!.

Wakati wa nyerer Watanzania waliheshimika dunia nzima. Mara nyingine hata airports za kimataifa tulipita bila kukaguliwa kwa sana lakini baada ya vimbwanga vya mwiny kila mahala ukisema ni Mtz, unaangaliwa kw macho mawili mawili yenye mashaka.

Nyerere aliyashuhudia mikutano ya kidini isiyo na uhusiano na serikla iikifanyika ikul. Nani asiyejua jins huyu mzee alivyoifanya tz? Nyerere aliumia akasema anajuata kumpa huyu nchi.

Siyo kwamba laitaka kurudi mwenyew. N amktu akijuta haina maana anataka afanyeyeye.

Wenye dini ya matusi na mapanga, kazi kwenu.
In short Inawezekana Wengi waimsingizia Mwinyi Mengi, Tatizo Kubwa La Utawala wa Mwinyi ilikuwa ni Rushwa ndicho alicholalamikia Nyerere. Lakini Nyerere hakuwa na Mpango wa Kung'atuka, alilazimika kufanya hivyo kwa Wimbi la Kuanguka kwa Socialism na Communism Dunia Nzima. Na hali ya U humi ilikuwa mbaya sana kiuchumi na soon Viashiria Vilionyesha kuwa hata Kiusalama angepitiliza 1985 ingekuwa ni hatari sana kwake labda abadilishe Msimamo kuhusu ujamaa, Mwalimu hakuwa Tayari kurudi nyuma, Alisema Akigeuka nyuma atakuwa Jiwe! ( Hii ni Falsafa Nyerere aliyokuwa ameiikopa kutoka kwa Adolf Hittler. Soma Kitabu cha Hittler Mein Kampf au My Straggle kwa English) Hittler alisema Ukiwaongoza watu Direction Fulani kisha ukagundua ulikosea au umeshidwa, basi watakuwa ni wajinga sana kama ukiwaambia turudi nyuma au twende upande mwingine niliwakosesha, Hittler akasema Kiongozi ukifanya hivyo na Watu wakamufuata Tena, basi jnatakiwa uwashangae sana! Ila kama imebidi kubadilisha mwelekeo basi Kiongozi Thabiti ni Lazima akae pembeni na aruhusu mwingine kuchukua Usukani.

Kadhalika Ushahidi Kuw Nyerere alipenda sana Stail ya Hittler Kwa Mambo Mengi, (Yale Mazuri, Hittler alikuwa ni Mwovu lakini alikuwa ni Kiongozi Mwenye Uwezowa Ushawishi kuliko yeyete Kuopata Kutokea! Pia aliitoa Ujerumani ya Unyonge baada ya Vita ya Kwanza ya Dunia na Kuifanya Ujerumani Taifa Lenye Nguvu kuliko yote wakati Ule! Aliweza Kuiteka Ufaransa chini ya Wiki moja! Anyway, Ukitaka Kujua Nyerere alimhudisha Hittler Tanzama hata Nyerere staili yake ya Kunyoa Ndevu, Na jinsi alivyokuwa akinyamaza Muda wa Kama Dakika kabla ya Kuhutubia huku akiwaangalia audience na hata katikati ya hotuba. Na huo Msimamo wa Kugeuka Jiwe!

hitler.jpeg

Hittler alivyonyoa Mustache!

nyerere.jpg


Nyere alivyonyoa Mustache!



Stail ya Hittler ya Kuhutubia.
 
Back
Top Bottom