Ni nani hasa alihusika na Kifo cha Sokoine?

Mimi nimependa sana habari hii ya kiuchunguzi tatizo la watu humu wanakosoa bila kuleta altenative nyingine ni bora uwe na constractive critisism badala ya ubishi
 
Pamoja na madhaifu yake kwa sisi watu wazima tuliyoziona awamu zote 5 za serikali, hatutamsahau mzee Mwinyi na sera zake za TRADE LIBERALIZATION zilizopelekea mageuzi makubwa ya kiuchumi, kisiasa na kijamii hata nchi ikaona neema toka ktk hali tete ya kufunga mkanda baada ya vita vya Kagera. Hapa ndio watanzania wengi kwa mara ya kwanza tuliijua TV nakuanza kutumia colgete.
 

Ni sehemu gani alipoelezea hizo siri kwenye hiko kitabu mkuu?
 
Reactions: SDG
Huyo wakati mwinyi Ana kuwa rais alikuwa hajazaliwa inaonekana amekuwa amekuta mwinyi kasharuhusu kila kitu hajapanga foleni RTC kununua sukari na dona
Duh we unanikumbusha mbali sana, hawa watoto wa smartphones watajulia wapi hayo uwaambiayo, watu walikuwa wanavaa viatu vilivyotengezwa kutokana na matairi ya gari.
 
Asante kwa kuelezea kidogo maana kifo chake kina utata sana yule dereva aliuehusika na kifo sijui yupo wap
 
Reactions: SDG
Mkuu unamaanisha nn kusem ana uwez mkubw kwenye adminstration bt co kwenye uongoz????
 
Hii nchi inamambo hivi na kifo cha AA Karume @@$%&&-(())&&--
 
Bila shaka Tanzania ilipoteza dira rasmi tarehe 12/4/1984...Yote yaliobakia ni kujaribu kurudi kwenye mstari tu tena kwa kubabaisha tu....Waliomuua Sokoine ni weusi wanaotumika kama toilet paper na usishangae ndio waliotake over...Hakuna jambo ambalo naliona ni mistake kubwa kama kumuua Moringe tena kwa makusudi mazima ya kumkomesha.Great mistake.Alikuwa yeye na alijiamini na aliuamini ujamaa...Kama hatima mbaya isingemfika ama kwa hakika kungekuwepo na nchi moja ya mfano katika Africa.
 
utumbo mtupu, hamna ulichoandika cha maana hapo
Hii sio njia ya kisomi ya kupinga maandishi. Unachopaswa Ni kupinga kwa hoja (criticize);alichoandiaka mwenzako...otherwise Ni utoto
 
Alikuwa ni Meja Jenerali mstaafu wa JWTZ ambaye pia baadae alihudumu kama Mkurugenzi wa Tiss.

Aliuwawa kimakosa na polisi kwa kufananishwa na jambazi.
,.....kimakosa?.....no thank you.
 
Haya ma mtu ya usalama yamevurugwa, mnatoa toa siri. hahahahahahahahahhahaha
 

Kwa aliefanikiwa kufungua hizo file msaada tafadhali kwa format nyingine kama word au pdf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…