Nimekua nikiona mara kadhaa watu wakilalamika taarifa za mawasiliano yao kwa simu kuvuja, ikiwemo ya sauti, sms na mara nyingine hadi whatsapp.
Nimekua nikijiuliza sana kuwa ni rahisi kiasi gani jambo hili linafanyika kiasi cha kuathiri watu wengi hivi.
Je ni kampuni za simu pekee ndio wanaweza au kuwezesha kufanyika kwa hili? Kama ni wao mbona wanajiharibia biashara? Au kuna chombo/idara/kitengo gani kingine nje ya kampuni za simu kinaweza kuhusika na hili?
Kama kuna watu wamepewa mamlaka haya, mbona kama wanatumia nafasi vibaya?
Tafadhali wenye uzoefu au uelewa na mifano watujuze angalau wanaofanya wajue michezo yao inajulikana na mtu likimpata ajue pa kuanzia.
Nimekua nikijiuliza sana kuwa ni rahisi kiasi gani jambo hili linafanyika kiasi cha kuathiri watu wengi hivi.
Je ni kampuni za simu pekee ndio wanaweza au kuwezesha kufanyika kwa hili? Kama ni wao mbona wanajiharibia biashara? Au kuna chombo/idara/kitengo gani kingine nje ya kampuni za simu kinaweza kuhusika na hili?
Kama kuna watu wamepewa mamlaka haya, mbona kama wanatumia nafasi vibaya?
Tafadhali wenye uzoefu au uelewa na mifano watujuze angalau wanaofanya wajue michezo yao inajulikana na mtu likimpata ajue pa kuanzia.