Ungeweka na uthibitisho wa post inayokusikitisha zaid ndo ingekuwa poa sana tujadili kitu tunachokiona ila maneno matupu tunaona ww ndo pumba sasayule ni mtu mzima sasa ukiangalia anachokiandika, Lugha anayotumia utadhani Mtoto Wa miaka kumi na tano
u mean also "kuposti" not "kupositi" 😀😀😀😀😀Hapo kwenye heading I mean instagram
Kwa hapo naweza kukubaliana na wewe kwa asilimia kidogo! kwa hiyo mama Dangote amefungua ofisi na ameajiri mtu/watu kwa ajili ya kuendesha akaunti zake kwenye mitandao?
Oh oo oo!!!Huyo ni Babu Tale.
[emoji106]Ni upumbavu tu poor IQ, mimi mama yake Diamond au Ali Kiba atanisaidia nini au niwe na interest naye ya nini?
Kama ni burudani nampenda ya msanii na mzazi has nothing to offer me.
Mtu anayepaswa kuwa interested na mama yake Diamond ni Zari hawara wa Diamond na yule hawara mwingine aliyezaa naye sijui ni dancer i don't even know her name.
Tanzania imejaa vijana wapuuzi sana, ukiwaeleza ukweli watakwambia hili ni jukwaa la celeb haya sasa huyo mama yake Diamond ni Celeb wa nini?
Diamond namsamehe kwa sababu back ground yake inajurikana alikosa shule huyu ni wa kumsamehe bure na ndio watu tujifunze umuhimu wa shule, tupeleke watoto shule, shule si maana yake baadaye uje kuwa mkurugenzi hapana bali shule ndio sehemu ya kushape maisha.
Ohooooo!!!Hata mtoa mada bila kunjua inaonyesha hana shule maana ameandika pumba tupu
Oh oo oo!!!naona umedadavua uzuri.Hivi una habari Le Mutuz ni mkubwa kuliko Mama Chibu?!
Ulishawahi kukutana na marehemu mzee Sykes, baba yake Dully?!
What about Mzee Zahir?!
Au mama yake Wema Sepetu je?!
Vipi kuhusu Bi Hindu au Bi Chau?
Usilinganishe akina mama wa Mpindimbi na akina mama wa mjini!!!!
Hio avatar yako mwenzio huku hoi [emoji7]Haviendan kivipi fafanua!?
MhHio avatar yako mwenzio huku hoi [emoji7]