Ni nani huwa anamsaidia Mama Diamond kuposit Vitu instagram

Ni nani huwa anamsaidia Mama Diamond kuposit Vitu instagram

yule ni mtu mzima sasa ukiangalia anachokiandika, Lugha anayotumia utadhani Mtoto Wa miaka kumi na tano
Ungeweka na uthibitisho wa post inayokusikitisha zaid ndo ingekuwa poa sana tujadili kitu tunachokiona ila maneno matupu tunaona ww ndo pumba sasa
 
Hivi una habari Le Mutuz ni mkubwa kuliko Mama Chibu?!

Ulishawahi kukutana na marehemu mzee Sykes, baba yake Dully?!

What about Mzee Zahir?!

Au mama yake Wema Sepetu je?!

Vipi kuhusu Bi Hindu au Bi Chau?

Usilinganishe akina mama wa Mpindimbi na akina mama wa mjini!!!!
 
ungejua account ya tiffa dangote anaepost ni nani ungeelewa?

diamond na WCB wanajua power ya social networks kwenye biashara yao ya mziki... sasa wametengeneza account nyingi ambazo zinatumika kuwaweka karibu na mashabiki wao.. mojawapo ni ya mama diamond.

nilivyosikia kuna mdada yupo wcb pale ni receptionist ndio anaziongoza account nyingi za WCB ikiwemo mama dangote.. yeye anatumiwa picha tu na mama.. yeye anapost anayoona inafaa kuwapa raha mashabiki


Kwa hapo naweza kukubaliana na wewe kwa asilimia kidogo! kwa hiyo mama Dangote amefungua ofisi na ameajiri mtu/watu kwa ajili ya kuendesha akaunti zake kwenye mitandao?
 
Insantagram!!!! Duh. Utakuwa mluga luga WA chato
 
Kubali tu, weee na huyo mama, kuna kitu mmefanana!
 
Unasema anayoposti hayaendani na umri wake kwani wewe umri wako unaendana na umri wake kwendraaaaaaaaaaaa
 
Ukimaliza ulizia na acc ya Nillan ni nani anapost maana post zake ni za kikubwa sana kuliko thread hii.
 
Ni upumbavu tu poor IQ, mimi mama yake Diamond au Ali Kiba atanisaidia nini au niwe na interest naye ya nini?

Kama ni burudani nampenda ya msanii na mzazi has nothing to offer me.

Mtu anayepaswa kuwa interested na mama yake Diamond ni Zari hawara wa Diamond na yule hawara mwingine aliyezaa naye sijui ni dancer i don't even know her name.

Tanzania imejaa vijana wapuuzi sana, ukiwaeleza ukweli watakwambia hili ni jukwaa la celeb haya sasa huyo mama yake Diamond ni Celeb wa nini?

Diamond namsamehe kwa sababu back ground yake inajurikana alikosa shule huyu ni wa kumsamehe bure na ndio watu tujifunze umuhimu wa shule, tupeleke watoto shule, shule si maana yake baadaye uje kuwa mkurugenzi hapana bali shule ndio sehemu ya kushape maisha.
[emoji106]
 
Hivi una habari Le Mutuz ni mkubwa kuliko Mama Chibu?!

Ulishawahi kukutana na marehemu mzee Sykes, baba yake Dully?!

What about Mzee Zahir?!

Au mama yake Wema Sepetu je?!

Vipi kuhusu Bi Hindu au Bi Chau?

Usilinganishe akina mama wa Mpindimbi na akina mama wa mjini!!!!
Oh oo oo!!!naona umedadavua uzuri.
 
picha ya anachopost na hayo maneno..wengine hatupo instagram
 
Back
Top Bottom