Ni nani huyu Cool 9 Jamani?

ahhhhhhnyie frelimo kuna jamaa alikuwa anaitwa uncle miki alikuwa anshinda stand kina cool 9 walikuwa wanakaaa.sema hao waburushi walikuwa wezi walipigwa risasi katika godown la RTC mlandege enzi hizo.ila aya mastori niyazamani sana mkuu
​hapana mkuu aliyepigwa risasi alikuwa ni Hayat
 
Dah hata mzee gugo hawajui hawa! Au hii ilitokea BC??
 

Mkuu Mbona nimekuona kwenye uzi huu wa 2012 ulichangia na walimuelezea vizuri tu.
---------------------------------------------------------------------------------
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/343462-ni-nani-huyu-cool-9-jamani-5.html
---------------------------------------------------------------------------------
 
Namanyele Unawakumbuka hawa? Azimio?Khan Kibona , Boyd Kibona,Pazi, Athuman Singano, John Silayo,
Je wewe ni mmojawapo?
 
Kuna jamaa alinambia walimzika babake makaburi ya kisutu yale halafu kumbe hao jamaa ni waarabu bhana mana anasema warabu wote wa ilala waliluwepo hapo siku hyo.kwa wenye nyuzi zaidi jamani tuchangie jamii Forum ni kujuzana wala c kuchukizana na kususiana;mikatabafeki.Renegade na wakali wengine bado mpo jamani fungukeni hapa kazi tu na jf.wasalaam
 
Kuna jamaa nlikuwa namuhadithia hii stori ya cool nine akashangaa sana mana aliniambia huyo cool nine alikuwa ni shemeji yake.yaani cool 9 alikuwa akitembea na dada wa jamaa yangu.kuna siku sijui alikorofishana nin na dada wa mshkaji bas cool9 akashikwa na hasira sana akabamiza ngumi kadhaa ukutani mwa nyumba na ukuta ule ukatengeneza nyufa kadhaa na dada wa jamaa alikimbia mno.kwa tukio lile tu jamaa alizidi kuogopwa sana
 
jamaa kwao iringa mkuu,nadhani iringa kwa sie wa zamani tunamfahamu zaidi kuliko nyie wa dar,alikuwa anazingua sana huyo mkuu,alikuwa ana wadogo zake mapacha mmoja yupo iringa mwingine yupo songea jamaa walikua tishio sana maeneo yote ya iringa mjini,nakumbuka mdogo wake hayati aliuawa mlandege akiwa na kina ally kihombo na mwingine nimemsahau,na huo ndio ukawa mwanzo wa cool 9 kupotea iringa maana inasemekana kwenye lile tukio nae alikuwepo akasalimika,risasi alipigwa kweli mkono wa kulia baada ya kudhani mzee anatania jamaa aksema chagua bega,mzee akashoot kweli njia ya kuelekea kijiji kinaitwa kiwele mkwawa chuoni kwa mbele..hiyo familia ina mengi mabaya ya ubabe na ndio chanzo cha kuharibu kizazi cha vijana wa kitanzini hadi leo maadili ya vijana wa kule sio,mara wajiite watoto wa mbwa na majina mengine mabaya na ya vitisho hadi leo sifa yao kubwa watu wa kitanzini ukianzisha nao ugomvi lazima washinde kwa namna yeyote bila kushinda ugomvi utaenda hata miaka miwili...laana imejaa kule..
 
huyo shetani ni shida kubwa alikuwa jambazi hatari,nasikia geto kwake alikuwa ameweka magodoro kumi ndio analalia,lkn hakudumu polisi walimuua nahisi..
 
hilo siyo swali we jibu hoja kama unajua tunafahamishana tu ndo mana tunabadilishana mawazo.
na kama ulikuwepo basi ulikuwa huko vijijini kwenu,kipindi kile information zilikuwa zinapatikana kwa shida ndio maana ilikuwa ngumu kumfahamu but kama ungekuwa umezaliwa mjini lazima ungesikia tu habari zake,poyee!
 
ha hahahaa duuh mdau nahisi tunafahamiana unalifahamu hadi jiwe mnyololo?
 
cool 9 alikuwa msumbufu tu na mbabe ila marehemu kipagati ndo alikuwa mwisho wa yote wa miaka ya 80s iringa watakuwa wanakumbuka drama za huyu mtu
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolo
 
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolo
Asante sanna LUBEDE kumbe Unamnyaka Vilivyo Huyo mbabe Cool 9 ina maana hapo Kitanzini waka
 
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolo
Asante sanna LUBEDE kumbe Unamnyaka Vilivyo Huyo mbabe Cool 9 ina maana hapo Kitanzini wakati baba
 
Safi sana Nzalendo Wakati Baba Yao
Anahama Kitanzini hawakuhama Wote? Ina Mana Kuna Familia Yao Bado Ilibaki Kitanzini?Lubedie. Doyi Na Nzalendo Tupeni Habari.
 
Ee Waungwana Mnisaidie C Ntamweleza
...ahhh..doyi Maniga Nawe Lubede Mko Wapi Mbona Kimya Jamani Uzi Wetu Huu Jamani Kwa Mastori Yetu Ya Zamani Mtu Kwao Bwana Au Che Mundu Ngwao Tutiririke Na Jf Bomba...
 
Ee Waungwana Mnisaidie C Ntamweleza
...ahhh..doyi Maniga Nawe Lubede Mko Wapi Mbona Kimya Jamani Uzi Wetu Huu Jamani Kwa Mastori Yetu Ya Zamani Mtu Kwao Bwana Au Che Mundu Ngwao Tutiririke Na Jf Bomba...
Unaikumbuka Taxi no.14 ya Mzee Roka?
Peugeot 404
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…