mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,649
​hapana mkuu aliyepigwa risasi alikuwa ni Hayatahhhhhhnyie frelimo kuna jamaa alikuwa anaitwa uncle miki alikuwa anshinda stand kina cool 9 walikuwa wanakaaa.sema hao waburushi walikuwa wezi walipigwa risasi katika godown la RTC mlandege enzi hizo.ila aya mastori niyazamani sana mkuu
Namkumbuka marehemu Cool 9, baunsa wa mabaunsa,
Enzi zile iliaminika kwamba yeye ndo mababe wa Iringa nzima enzi ile,
Japokuwa kulikuwa kuna mtu anaitwa Shetani aliyebarikiwa ambaye bado hakufua dafu kwa Cool 9
Niliishi nae mtaa mmoja Kitanzini Iringa, aliishi nyumba ya pili kutoka kwetu
Nakumbuka mechi ya Lipuli na Simba aliua mbwa mbili za Polisi kwa mpigo
Na polisi wengine walijeruhiwa na kuwahishwa hospitali kama majeruhi
Hivyo baadae polisi walimtumia kusaidia ulinzi wakati wa mechi uwanja wa Samora
Baadae alihamia Mkoa wa Dar es Salaam, pia nilisikia ubabe uliendelea kama kawaida.
Kwa wenye ufahamu zaidi huko Dar watujuze tafadhali.
Namanyele Unawakumbuka hawa? Azimio?Khan Kibona , Boyd Kibona,Pazi, Athuman Singano, John Silayo,Hii mada ilishajadiliwa sana humu ndani, nami namkumbuka sana huyu jamaa nami nimeishi line polisi pale iringa mjini. Huyu jamaa alikuwa anawatemea sana mate askari polisi na walikuwa hawamfanyi kitu chochote. Shetani aliyebarikiwa alikuwa anaishi makanyagio, huyu jamaa hakuwa mbabe kivile pia kilikuwa kimbaumbau tu kinapenda kuvaa nguo za vitenge. Ubaya wake ilikuwa anauwezo sana wa kupiga mateke hasa sehemu zenye uchochoro yaani huku ukuta na huku ukuta ndiyo anakubamizia maukutani, lakini ukimpleka sehemu za wazi unamsharaza vibao tu mana mwili wake ulikuwa dhaifu sana hakuna pa kupiga ngumi, kiufupi alikuwa kibaka na mkorofi mkorofi ila sio baunsa kama cool 9
Dah hata mzee gugo hawajui hawa! Au hii ilitokea BC??
jamaa kwao iringa mkuu,nadhani iringa kwa sie wa zamani tunamfahamu zaidi kuliko nyie wa dar,alikuwa anazingua sana huyo mkuu,alikuwa ana wadogo zake mapacha mmoja yupo iringa mwingine yupo songea jamaa walikua tishio sana maeneo yote ya iringa mjini,nakumbuka mdogo wake hayati aliuawa mlandege akiwa na kina ally kihombo na mwingine nimemsahau,na huo ndio ukawa mwanzo wa cool 9 kupotea iringa maana inasemekana kwenye lile tukio nae alikuwepo akasalimika,risasi alipigwa kweli mkono wa kulia baada ya kudhani mzee anatania jamaa aksema chagua bega,mzee akashoot kweli njia ya kuelekea kijiji kinaitwa kiwele mkwawa chuoni kwa mbele..hiyo familia ina mengi mabaya ya ubabe na ndio chanzo cha kuharibu kizazi cha vijana wa kitanzini hadi leo maadili ya vijana wa kule sio,mara wajiite watoto wa mbwa na majina mengine mabaya na ya vitisho hadi leo sifa yao kubwa watu wa kitanzini ukianzisha nao ugomvi lazima washinde kwa namna yeyote bila kushinda ugomvi utaenda hata miaka miwili...laana imejaa kule..Tupe basi stori zake je unamjua mdogo wake anayeitwa Van Dame wa magomeni?unasema kwao iringa mi najua kwao ni ubungo kwa baba yake na ndo alikokuwa anakaa na nyumba yao hadi leo ipo.kati ya yeye na ayati nani alikuwa mkubwa nasikia alikuwa na dada yake alikuwa anapiga naye? mkatabafeki usituache hewani tupe stori zake bwana,je jina lake la kuzaliwa ni nani mana hilo kool9 ni la kizungu?.
huyo shetani ni shida kubwa alikuwa jambazi hatari,nasikia geto kwake alikuwa ameweka magodoro kumi ndio analalia,lkn hakudumu polisi walimuua nahisi..cool 9 alikuwa ni mtu maarufu sana mkoa wa iringa miaka ya 80- 90 nakumbuka kipindi dada zangu wakiwa wanasoma secondary wakiwa wanasafari za disco alikuwa anawasumbua sana ila kunasiku sister alikuwa anatoka iringa hotel kwenye graduation cool 9 akawa anataka kumfanyia fujo sister wacha ale kichapo na bro wangu tangu siku hiyo akawahawasumbui dada zangu. Mob ya kul nine ilikuwa kina chancella, shedad na vijana wengine ila baada ya shedad kufa kidogo utemi ukapungua mkoani kwetu mpaka walipojitokeza kina shetani aliebarikiwa kuanzisha ubabe tena sijui kama kuna mtu wa humu anaemfahamu shetani aliebarikiwa mtemi wa iringa.
na kama ulikuwepo basi ulikuwa huko vijijini kwenu,kipindi kile information zilikuwa zinapatikana kwa shida ndio maana ilikuwa ngumu kumfahamu but kama ungekuwa umezaliwa mjini lazima ungesikia tu habari zake,poyee!hilo siyo swali we jibu hoja kama unajua tunafahamishana tu ndo mana tunabadilishana mawazo.
ohooo,mwalimu wa kwaya,leo tutafahamiana hapa..mkuu tumesoma wote sababa miaka hiyo ya 1994 nilikuwepo enzi za mwl kisunda
ha hahahaa duuh mdau nahisi tunafahamiana unalifahamu hadi jiwe mnyololo?teh! teh! teh! teh! teh! teh!!..............kipindi hicho angekuskia na kufahamu ndo wewe umemtusi,du! mkuu nafikiri ungetamani uchukue kamba ushuke porini kitanzini au jiwe mnyororo limeandikwa cocacola ukajinyonge huko,kwi! kwi! kwi! kwi!...mie nalog out
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolocool 9 alikuwa msumbufu tu na mbabe ila marehemu kipagati ndo alikuwa mwisho wa yote wa miaka ya 80s iringa watakuwa wanakumbuka drama za huyu mtu
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolo
huyo hakuwa mbabe alikuwa jambazi aliyetukuka,alimuoa polisi mpelelezi bila kujua akakamatwa siku ya harusi,na yule mama akapandishwa cheo,anaitwa mama ivona,anakaa kihesa nyuma ya msikiti kama unaenda k/kilolo
COOL 9=Alipigwa risasi Iringa na Dereva wa malori.(ila hakufa na ikawa mwisho wa utemi wake)Asante sanna LUBEDE kumbe Unamnyaka Vilivyo Huyo mbabe Cool 9 ina maana hapo Kitanzini waka
Unaikumbuka Taxi no.14 ya Mzee Roka?Ee Waungwana Mnisaidie C Ntamweleza
...ahhh..doyi Maniga Nawe Lubede Mko Wapi Mbona Kimya Jamani Uzi Wetu Huu Jamani Kwa Mastori Yetu Ya Zamani Mtu Kwao Bwana Au Che Mundu Ngwao Tutiririke Na Jf Bomba...
alihama mzee wao tu mkuu..Safi sana Nzalendo Wakati Baba Yao
Anahama Kitanzini hawakuhama Wote? Ina Mana Kuna Familia Yao Bado Ilibaki Kitanzini?Lubedie. Doyi Na Nzalendo Tupeni Habari.