Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni rafiki wa Bashe, halafu hapo hapo ni rafiki wa Kigwangala! He he heee! Wazee wa kushikiana bastola! Ngoja mi ni.logout, hapa unaweza ukatembelewa na wazee, halafu nyumba ikapekuliwa! Kwa heriniHuyu mtu kwa upande wa fb anaonekana marafiki zake ni Lowasa, Bashe, Kigwangala, Jerry Slaa na wngineo
siyo hivyo mkuu wangu,inawezekana mleta mada ana hint moja muhimu sana,ukichukulia kwamba ndugu yetu Membe ametuhumiwa,yawezakana sasa anawatafuta wahusika.Nyie mna wivu mtu hata kama akipokonywa demu na mtu akija na kumpost humu basi anahusika na upumbavu wa njama sio.....insu ni vipi lwakatale kakipaka matope chama chetu pendwa insu sio jumanne simba.