Ni nani huyu: Jumanne Miraji Simba

Ni nani huyu: Jumanne Miraji Simba

Upungufu wa wataalamu ya Cyber crimes Tanzania inasababisha wahuni wachache kufanya cyber crimes bila kufikishwa mbele ya sheria. Vyombo vya usalama pamoja na sheria pia navyo vimeingiliwa na hawa wahuni, sasa watu wakimbilie wapi? Digital Forensic ingeweza kuwaumbua wahusika wote hatua kwa hatua. Siku yaja.
 
Dah, mbona sasa naiogopa Tanzania nchi yangu! Nchi niliyoipenda na inayosifika kwa amani kote ulimwenguni....lakini leo imekuwa ni nchi isiyoaminika tena kwa lolote! Mungu baba, kwa niaba ya raia wenzangu....naomba utulindie nchi yetu!
 
siyo hivyo mkuu wangu,inawezekana mleta mada ana hint moja muhimu sana,ukichukulia kwamba ndugu yetu Membe ametuhumiwa,yawezakana sasa anawatafuta wahusika.

Ndugu yetu Membe= Wewe na nani? Undungu wa kuzaliwa, kiinchi, kikazi au?
 
Hapa sitoki mpaka kieleweke, kamma ni pumba au mchele au wali kabisa.
 
388072_10151808895120931_694429101_n.jpg


Jumanne
Miraji
Simba
Add
Friend


Contact Information




[TABLE="class: uiInfoTable mts profileInfoTable uiInfoTableFixed"]
[TR]
[TH="class: label"]Facebook[/TH]
[TD="class:
data"]http://facebook.com/jumanne.simba[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Activities
and interests





[TABLE="class: uiInfoTable mts profileInfoTable uiInfoTableFixed"]
[TR]
[TH="class: label"]Other[/TH]
[TD="class: data"]Jakaya
Kikwete
,
Tanzania,
Muslimahs
Paradise
,
Strategic
Marketing & Design
,
Malcom
X
, Watanzania
Mashuhuri
, Chama Cha
Mapinduzi
,
U.V.C.C.M
Chipukizi Taifa
,
Nelson
Mandela
, josef
islam
[/TD]
[TD="class: rightCol"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Huyu jamaa alikuwa Campaign Manager wa Rais Kikwete kwenye uchaguzi Mkuu 2010.
 
Where is our Kubenea atufungulie hiki kitendawili kwa kupitia JF!!
 
Wakuu, kama kuna mtu yeyote
independent mwenye interest ya kuchunguza suala la Kibanda na la video
ya Rwakatare, amchunguze huyu mtu... Kwaherini

Hii ishu ya kibanda itapita kama ilivyopita ya Ulimboka... Always nasemaga kama sisi vijana tutashindwa kuingia mtaani na kuwatoa CCM kwa nguvu, tukabakia kupiga makelele huyu, hakuna tunachokifanya....
Vijana tubadilike, vinginevyo itaendelea kula kwetu pamoja na kupiga makelele yetu, mwisho wa siku tutaonekana wehu tu.....
 
Hii ishu ya kibanda itapita kama ilivyopita ya Ulimboka... Always nasemaga kama sisi vijana tutashindwa kuingia mtaani na kuwatoa CCM kwa nguvu, tukabakia kupiga makelele huyu, hakuna tunachokifanya....
Vijana tubadilike, vinginevyo itaendelea kula kwetu pamoja na kupiga makelele yetu, mwisho wa siku tutaonekana wehu tu.....

mimi ni mtanzania mbumbu lakini tuu najielewa sasa hapa jf mnatupotosha tutafute uhakika juu ya hili coz mimi ninavyo mfahamu jumanne miraji simba yumo humu jf tena mala kibao tuu anachangia jalibuni kumuuliza sasa.

Pili jamaa anaweza kua jasusi mimi sina ukweli kuhusu hilo?

Tatu hivi siasa za africa ni siasa chafu sana hilo sina walakini nao isiwe jamaa anajiandaa kuchukua jimbo flani pale dsm upande wa kwenda ngende kwetu so best yake masabuli wale wazee wa dsm kaamua kuharibu
 
Back
Top Bottom