Ihunguru
Senior Member
- Apr 20, 2015
- 127
- 62
We jamaa umenifanya kitu mbaya sana nilikua kwenye kikao boss anazungumza nikacheka kwa sauti mpaka akaniambia j3 nimwone ofisini kwake itabidi nipeleke hii comment yako kama utetezinaye mhariri wa gazeti la Frankurt algamain tsaitung anasema kuwa "MAPENZI PESA, UFUNDI PELEKA VETA"
Ile hali mhariri wa Baarin Tsaitung yeye ametanabaisha umma kwa kichwa kikubwa cha habari kinachosomeka "FANYA HIMA NIKUPE ANACHOKUNYIMA"
Na huo ndio mwisho wa udondozi wa Magazeti kutoka hapa Ujerumani mjini Booooooonna