swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Anasoma Shahada ya uzamivu ktk fani gani?Jerry ni msomi wa chuo kikuu cha DSM kiwango cha shahada ya uzamili na sasa anafanya uzamivu, pia ana astashahada ya uandishi wa habari na stashahada ya utangazaji.
Kwa kifupi ana
P.
- Astashahada
- Stashahada
- Shahada
- Shahada ya Uzamili
- Shahada ya Uzamivu.