Alafu mkuu, hawa wanasayansi sio kwamba ndio wameleta na kufanya vitu viwe vigumu, hawa ndio wamerahisisha mambo hadi leo hii tunauwezo wa kusoma zaidi ya topic tano kwenye kitabu kimoja,
Mfano mdogo chukulia labda kwenye chemistry, ile periodic table kuna element zaidi ya mia, sasa kuisoma tabia ya element moja baada ya nyingine hadi ukazimaliza zote ni ngumu sana, ndio maana kuna wanasayansi wengi walijaribu lakini wakashindwa kuziweka kwenye makundi hadi alipokuja Mendeleev ndio akafanikiwa kuunda hyo PT ambapo wanafunzi saiz wanasoma kwa raha huku wakisikiliza mziki na wengine wakichati, lakini kazi ilikua imeshafanywa na Mendeleev,