Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haziwez kufa akilala ataota TenaBashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Haziwez kufa akilala ataota Tena
Daah na zisivyoiva na huyo mama mmhh,nahisi safari yake ya siasa ndo imeisha rasmiBashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Nyota ya MTU haiwezi kuishia katikati kama yeye ni wa kuwa huu zaidi atapaaa au kama ameishia hapo ni. Tamati
Bashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
huyu ni makamu wa raisi .... Makamu Mwenyekiti wa chama ni Mangula .... je chama kitaitisha mkutano mkuu kumsimika?
Kwani katiba yao inasemaje?Rejea kichwa cha habari. Je, ni nani atachukua mikoba ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi aka chama tawala?