Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Yale yale ya nyumba geukaa..!! wa mbele anakuwa nyuma na wa nyuma anaenda mbeleBashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale yale ya nyumba geukaa..!! wa mbele anakuwa nyuma na wa nyuma anaenda mbeleBashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Bashite aondoke tu akakae uhamishoni ,baba yake kashaondoka ngoja naye aanze kuchezeshwa TENTEMENTE.Bashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Mama samia anampenda sana MakondaBashite ndoto zimekufa tena. Haya maisha. Ww acha tu
Huo siyo utamaduni. Hii iko kwenye katiba ya CCM. CCM siyo CHADEMA ambako katiba inakuza na kueneza ving'ang'anizi. Bila kuibadili katiba ya CHADEMA, Mbowe ni mwemyekiti wa maisha. Alipoona htakuwa raisi alijikita kwenye uraisi wa chama.Hili ndio swali ambalo ninaanza kujiuliza kama CCM wataendeleza huu utamaduni kwa Mama Samia pale atapokabidhiwa rasimi madaraka ya uraisi.
Nasema hivi kwasababu utamaduni huu umekuwa ukitetewa sana na WANA-CCM, sasa ni wakati wa kuona kama kweli CCM wataheshimu huu utamaduni.
Wacha tusubiri.
Atarudia kazi yake ya utingo. Huyu kijana alipata nafasi nzuri, lakini akawa na tamaa. Yeye alikfikia mahali akadhani yeye ni kipenzi namba moja cha Dar. Kumbe alikuwa adui namba moja wa wana Dar. Uongozi wake ulikuwa mbovu na alikuwa na majivuno mengi, kiasi alidirika kuwasukuma na kuwapiga wazeee wastaafu, wafanya biashara, wanafamilia na jamii kwa ujumla. Wakati akifanya hayo alikuwa akisindikizwa na wapambe. Magufuli alishindwa kumfuta kazi kwa sababu watu wengi saana walishiniiza amfukuze kazi. Tabia ya Magifuli ya Magufuli ilikuwa kutolazimishwa/shinikizwa kufanya lolote. Siku Makonda alichukuwa fomu ya kugombea ndiyo ilikuwa nafasi ya Magufuli kumfukuza kazi bila yeye kutamka amefukuzwa. Kila mtu alisikia marehemu alivyosistiza kutokuwa na tamaa. Yeye (Makonda) naona au hakuelewa au alikuwa na hakika tapitishwa na wananchi kama hatapitishwa CCM itamsaidia jina lake lirudi. Bahati mbaya kila mtu alikuwa anatafuta upenyo usio na lawama. Mwisho wake ulikuwa Makonda kujifukuzisha kazi. Anyway, sasa hivi ndiyo kapata pigo zaidi, maana alikuwa anadhani huenda akakumbukwa hata kwa ukatibu tarafa. Yeye atafute ajira nyingine! Labda aungane na wauza unga ambao alikuwa akiwasadia enzi hizo!Huyu jamaa atakimbilia wapi wakati huko nje nako kapigwa ban
mnawashwa sana na makondaAtarudia kazi yake ya utingo. Huyu kijana alipata nafasi nzuri, lakini akawa na tamaa. Yeye alikfikia mahali akadhani yeye ni kipenzi namba moja cha Dar. Kumbe alikuwa adui namba moja wa wana Dar. Uongozi wake ulikuwa mbovu na alikuwa na majivuno mengi, kiasi alidirika kuwasukuma na kuwapiga wazeee wastaafu, wafanya biashara, wanafamilia na jamii kwa ujumla. Wakati akifanya hayo alikuwa akisindikizwa na wapambe. Magufuli alishindwa kumfuta kazi kwa sababu watu wengi saana walishiniiza amfukuze kazi. Tabia ya Magifuli ya Magufuli ilikuwa kutolazimishwa/shinikizwa kufanya lolote. Siku Makonda alichukuwa fomu ya kugombea ndiyo ilikuwa nafasi ya Magufuli kumfukuza kazi bila yeye kutamka amefukuzwa. Kila mtu alisikia marehemu alivyosistiza kutokuwa na tamaa. Yeye (Makonda) naona au hakuelewa au alikuwa na hakika tapitishwa na wananchi kama hatapitishwa CCM itamsaidia jina lake lirudi. Bahati mbaya kila mtu alikuwa anatafuta upenyo usio na lawama. Mwisho wake ulikuwa Makonda kujifukuzisha kazi. Anyway, sasa hivi ndiyo kapata pigo zaidi, maana alikuwa anadhani huenda akakumbukwa hata kwa ukatibu tarafa. Yeye atafute ajira nyingine! Labda aungane na wauza unga ambao alikuwa akiwasadia enzi hizo!