Ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express?

Ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express?

RATCO

Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
19
Reaction score
10
Za jioni wana jf,

Ninachotaka kuwaeleza hapa ni nani mmiliki halisi wa Ratco Express. Nilikuwa nikisikia tetesi nyingi sana kuhusu mmiliki wa mabasi haya wengine wakisema ni mtoto wa Rais ambaye ni Riziwani, ukweli ni kwamba mmiliki wa mabasi hayo ni Mohamed Salim (kifaranga) na katumia jina la ukoo wake kutengeneza jina hilo. Maana ya Ratco ni, RA-Rawahy, T-Transport, CO-Company.

Hilo ndilo maana ya RATCO.

Nawatakia jioni njema.
 
Hakuna kitu hapo, weka memarts ya coy yote ndio tusadiki lakini ukweli mmiliki wake ni riz1 fullstop
 
Labda nikuulize ni kwanini unasema riziwan????

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwani hata akiwa riziwan kuna shida gani?? Ni sawa tu mie naona
 
Mbona kama unauliza na kujijibu vile... ntarudi
 
Vizuri kwa kukuleta jina la mmiliki,ili kupunguza majungu
 
mleta mada, huyo Mohamed
Salim (kifaranga) ni nani?.historia yake ktk biashara plz.kabla ya ratco alikuwa anamiliki biashara gani?.
 
Na mimi ni mwanae wa kwanza wa mmiliki wa mabasi haya, na jina la Ratco lilianza zamani sana kabla hayajaanzishwa mabasi hayo, kabla ya Ratco lilikuepo jina la "Masukari" baada ya jina hilo ndipo jina la Ratco kutokea. Na Ratco ilianza kwenye malori ndipo yapo mpaka kwenye mabasi!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Alianza kufanya kazi ya Transportation (TPC sugar) ambayo ipo moshi ndipo akaongeza mabasi ili aendeleze biashara na bado kazi ya Transportation anaendelea nayo, na ni Transporter mkubwa wa sukari hapa nchini

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Na mimi ni mwanae wa kwanza wa mmiliki wa mabasi haya, na jina la Ratco lilianza zamani sana kabla hayajaanzishwa mabasi hayo, kabla ya Ratco lilikuepo jina la "Masukari" baada ya jina hilo ndipo jina la Ratco kutokea. Na Ratco ilianza kwenye malori ndipo yapo mpaka kwenye mabasi!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

sawa "mwanae" tumekusoma.haya weka picha ya huyo baba yako mohamed salim (kifaranga).plz usijeweka ya kifaranga cha kuku.lol
 
Nadhani unajua kilichomtokea mzee Saad Said(Home shopping centre) so sitaki yamtokee mzee wangu, kama unataka amini au usiamini!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Samahani kwa kutokuweka picha. Yake lakini kama wewe ni kweli mkazi wa Tanga, ni lazma utakua unamjua!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbona haufanani nae sasa mzee wako? Au umefanana na mama?
 
Ahsante kwa ufafanuzi maana hii tabia ya kumbebesha Riziwani kila biashara itakuja kusababishia watu wapoteze biashara kama kukitokea vurugu. Mfano vijana wasio na ajira wanaweza kushambulia na kuchoma basi la RATCO wakidhani wanamkomoa Riziwani kumbe anaumizwa Mzee Kifaranga
 
Mhh.. haya, lakini mbona wamiliki wote wa mabasi au matransporter wanajulikana immediately wanapoanzisha
biashara ya magari huwa hawahitaji kujitambulisha,akina mzee Seleni Abdalah Ally hawakujitambulisha mpaka
tukajua ni mmiliki wa Raha leo,iweje baada ya RATCO kuanza na baada ya muda ikajulikana ni Riziwani mpaka
mje kutoa taarifa JF ili ajulikane mwenyewe?!!!
 
Niliamua kumtambulisha kwa sababu, watu wakidhani ni Riziwani ndie mmiliki wa mabasi hayo na bado mpaka hivi sasa sijajua ni kwanini munasema Riziwan??? Hilo bado ni swali langu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom